Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
NEC ndo wanataka hivyo, hakuna sababu yeyote ya kuendelea na mfumo mbovu kama wa NEC wakati kila siku watu wanaimba TECHNOHAMA. Hawataki kutumia vipesa kidogo kwa ajili kujenga miundo mbinu yao ya habari. Hata kama CCM wameshinda, watasababisha vurugu visivyokuwa na ulazima.
miundombinu bora haitaruhusu wizi wa kura, ndio maana hawataki.