mimi sio shabiki wa CCM, mimi ni CCM yenyewe.Mkuu ukifikiria sana unaweza kujiumiza bure!! Ni kuwa na subira tu. Ila wanauzi sana, watu wenyewe computer wanaijua basi, wanatafuta herudi kwa tochi kwenye hiyo keyboard. Wamejazana wajomba na maanko. Vurugu zikitokea nani alaumiwe. Mkuu Omr, sawa wapige risasi lakini sidhani kama ndo unapenda itokee hivyo lazima kuna sehemu ya akili yako itakuwa inasema kwa sauti ya chiniiiiiiiii "hapana ccm wamezidi hata kama ni shabiki lao"
mkileta fujo tunapiga risasi tu. Dr. Kikwete alishasema hataki uhuni Igunga.
Mkitupiga nasi tunacharanga mama zenu RWANDA RWANDA TU! Kama MBWAI MBWAI bwana isiwe shida!mkileta fujo tunapiga risasi tu. Dr. Kikwete alishasema hataki uhuni Igunga.
Wanachama na wapenzi wa cdm wamekizunguka kituo cha kutangaza matokeo wakiwa ni wengi kwa mamia na kuna askari wengi sana na magari ya washawasha. Wanaimba wimbo wa Mungu bariki cdm. Madai yao ni matokeo yatangazwe kwani muda tayari umepita na uchakachuaji unafanyika.Je matokeo tunayotangaziwa na Nape, Mtanzania, kwamba ccm wameshinda yametoka wapi?
Source Radio 5
Sasa hapo muhuni ni nani?muheshimiwa?tume?wananchi?ccm?au cdm!Wanaochelewesha matokeo kwa makusudi huwaoni wao NEC ndio wahuni !!!?
Duuuuuuuuuuuuuuu! Tume ya uchaguzi wanatupeleka wapi jimbo moja tu matokeo hayajatoka mpaka saizi na vituo vilifungwa jana saa kumi jioni!
mkileta fujo tunapiga risasi tu. Dr. Kikwete alishasema hataki uhuni Igunga.
Ushauri wa bure: Bangi na hasira haviendaniMkitupiga nasi tunacharanga mama zenu RWANDA RWANDA TU! Kama MBWAI MBWAI bwana isiwe shida!