Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wandugu, nina swali la muhimu sana.
Watanzania wengi sana wanapenda kujadili na kuona kuwa SIASA ndio kila kitu.
Kinyume na hilo waTanzania wengi ni wavivu ukilinganisha na majirani zetu wa Kenya na Uganda.Ukianzia ngazi za juu , utendaji wa kazi bado ni mdogo aidha kwa utendaji na utatuzi wa matatizo ya kijamii(actual problem solving).
Leo bado kuna majopo, makongamano, warsha na semina za kila aina, muda tosha wa kutatua matatizo ya kijamii. Hivi sasa uwanja wa mambo haya ni Mnazi Mmoja badala ya Bagamoyo.
Je ni KWA NINI watu hupendelea zaidi SIASA kuliko kufanya kazi za kujiingizia kipato?
Watanzania wengi sana wanapenda kujadili na kuona kuwa SIASA ndio kila kitu.
Kinyume na hilo waTanzania wengi ni wavivu ukilinganisha na majirani zetu wa Kenya na Uganda.Ukianzia ngazi za juu , utendaji wa kazi bado ni mdogo aidha kwa utendaji na utatuzi wa matatizo ya kijamii(actual problem solving).
Leo bado kuna majopo, makongamano, warsha na semina za kila aina, muda tosha wa kutatua matatizo ya kijamii. Hivi sasa uwanja wa mambo haya ni Mnazi Mmoja badala ya Bagamoyo.
Je ni KWA NINI watu hupendelea zaidi SIASA kuliko kufanya kazi za kujiingizia kipato?