Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 51
- 140
SIASA NI NYENZO YA KUJENGA URAFIKI NA MAENDELEO, NA SI FIMBO YA KUWACHAPIA WENZAKO
Na Comrade Ally Maftah
Moja kati ya jambo lililonipa furaha kubwa ni kuwa katika siasa tena za Chama cha Mapinduzi.
Nikiwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi katika wilaya ya kinondoni nimepata bahati kubwa ya kukutana na watu wazuri na wenye upendo.
Tumejifunza kwa pamoja kwamba kuijenga nchi yetu ni kuujenga upendo wenye kuleta hamasa za kijamii na kiuchumi.
SIASA KAZI MAARIFA
Kitabu bora kinachobeba zana ya siasa za uchumi na ujamaa wa kweli.
Ndimi
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM na Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Na Comrade Ally Maftah
Moja kati ya jambo lililonipa furaha kubwa ni kuwa katika siasa tena za Chama cha Mapinduzi.
Nikiwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi katika wilaya ya kinondoni nimepata bahati kubwa ya kukutana na watu wazuri na wenye upendo.
Tumejifunza kwa pamoja kwamba kuijenga nchi yetu ni kuujenga upendo wenye kuleta hamasa za kijamii na kiuchumi.
SIASA KAZI MAARIFA
Kitabu bora kinachobeba zana ya siasa za uchumi na ujamaa wa kweli.
Ndimi
Comrade Ally Maftah
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM na Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam