Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Hili swali limenijia baada kuona thread ya mtu anatafuta mwanamke bikra.
1. Ivi bikra ipo kwa viumbe vyote vya kike au ni specific kwa wanadamu?
2. Je inakazi nyingine yeyote au ni kuonyesha upya wa mwanamke?
3. Kwa nini nature ifanye hivi kwa jinsia moja tu?
4. Je kuna kitu tunashindwa kuona/kujifunza kutoka kwa 'nature'?
P.S: Mie sio mwandishi na sirembi chochote. Naenda straight to the point. Kwa hiyo poleni kwa maswali makali.
Pili, nimetumia neno 'nature' kwa kusudi la ku-capture imani nyingi. I.e: Kwa wale wanaoamini evolution na wale wanaoamini uumbaji.
Tatu, by bikra ninamaanisha hymen, na sio bikra ya kifalsafa (kufanya mapenzi). i.e: inayotumika kwa mwanaume pia.
1. Ivi bikra ipo kwa viumbe vyote vya kike au ni specific kwa wanadamu?
2. Je inakazi nyingine yeyote au ni kuonyesha upya wa mwanamke?
3. Kwa nini nature ifanye hivi kwa jinsia moja tu?
4. Je kuna kitu tunashindwa kuona/kujifunza kutoka kwa 'nature'?
P.S: Mie sio mwandishi na sirembi chochote. Naenda straight to the point. Kwa hiyo poleni kwa maswali makali.
Pili, nimetumia neno 'nature' kwa kusudi la ku-capture imani nyingi. I.e: Kwa wale wanaoamini evolution na wale wanaoamini uumbaji.
Tatu, by bikra ninamaanisha hymen, na sio bikra ya kifalsafa (kufanya mapenzi). i.e: inayotumika kwa mwanaume pia.