Kwa nini nasema CCM itashinda Igunga

Nwaigwe

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
1,053
913
Ushindi wa CCM Igunga ni obvious kutokana na sababu moja kuu, kwamba wapiga kura ni watu wenye uelewa mdogo sana kuliko mimi na ww, na wale wenye uelewa mkubwa tuseme wasomi ndiyo hao ambao mara nyingi huwa hawapigi kura.<br>Uelewa mdogo wa mambo yanayoendelea nchini unaweza kuulinganisha na elimu duni inayotolewa na serikali ya ccm, kwa kuhakikisha shule za kata zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, maktaba n.k.<br>Mtu wa kawaida katika vijiji na kata za Igunga hajui kama tunailipa Dowans kwa uonevu kwa hali ya juu kutoka kwenye kodi zetu. Infact hajui hata hiyo kodi anailipa hata kwenye sabuni anayoitumia kuogea. Simply ni kwamba hana elimu. Vyombo vya habari kama magazeti husomwa na watu wachache mjini Igunga, wengi vijijini hawajui kusoma na hawana hela za kununulia magazeti. Hivyo hawana habari ya maovu ya ccm. CCM bado kwao ni ya mwalimu.Uislamu nao umeshika kasi yake Igunga. Tunapoongelea hili tunaongelea ufinyu wa elimu dunia kama tunavyoiita wenyewe.<br>
 
Sidhani kama uchambuzi wako unajitosheleza. Unaposema watu wa Igunga wana uelewa mdogo una maana gani? Kama ni hivyo hiyo ni hali ya nchi nzima tu wala sio Igunga peke yake. Isitoshe watu wanaangalia sera za chama ndizo wanapigia kura.
 
Ushindi wa CCM Igunga ni obvious kutokana na sababu moja kuu, kwamba wapiga kura ni watu wenye uelewa mdogo sana kuliko mimi na ww, na wale wenye uelewa mkubwa tuseme wasomi ndiyo hao ambao mara nyingi huwa hawapigi kura.<br>Uelewa mdogo wa mambo yanayoendelea nchini unaweza kuulinganisha na elimu duni inayotolewa na serikali ya ccm, kwa kuhakikisha shule za kata zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, maktaba n.k.<br>Mtu wa kawaida katika vijiji na kata za Igunga hajui kama tunailipa Dowans kwa uonevu kwa hali ya juu kutoka kwenye kodi zetu. Infact hajui hata hiyo kodi anailipa hata kwenye sabuni anayoitumia kuogea. Simply ni kwamba hana elimu. Vyombo vya habari kama magazeti husomwa na watu wachache mjini Igunga, wengi vijijini hawajui kusoma na hawana hela za kununulia magazeti. Hivyo hawana habari ya maovu ya ccm. CCM bado kwao ni ya mwalimu.Uislamu nao umeshika kasi yake Igunga. Tunapoongelea hili tunaongelea ufinyu wa elimu dunia kama tunavyoiita wenyewe.<br>

Mkuu kwa maongezi haya ulikuwa kweli na sababu ya msingi ya kufungua a new thread ? Hebu tuwe waelewa jamani haya yanesha sema humu na we unarudia au ni ugeni mkuu unakusumbua ? Mods unganishe hii na mambo ya Igunga.
 
Ushindi wa CCM Igunga ni obvious kutokana na sababu moja kuu, kwamba wapiga kura ni watu wenye uelewa mdogo sana kuliko mimi na ww, na wale wenye uelewa mkubwa tuseme wasomi ndiyo hao ambao mara nyingi huwa hawapigi kura.<br>Uelewa mdogo wa mambo yanayoendelea nchini unaweza kuulinganisha na elimu duni inayotolewa na serikali ya ccm, kwa kuhakikisha shule za kata zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, maktaba n.k.<br>Mtu wa kawaida katika vijiji na kata za Igunga hajui kama tunailipa Dowans kwa uonevu kwa hali ya juu kutoka kwenye kodi zetu. Infact hajui hata hiyo kodi anailipa hata kwenye sabuni anayoitumia kuogea. Simply ni kwamba hana elimu. Vyombo vya habari kama magazeti husomwa na watu wachache mjini Igunga, wengi vijijini hawajui kusoma na hawana hela za kununulia magazeti. Hivyo hawana habari ya maovu ya ccm. CCM bado kwao ni ya mwalimu.Uislamu nao umeshika kasi yake Igunga. Tunapoongelea hili tunaongelea ufinyu wa elimu dunia kama tunavyoiita wenyewe.<br>

Wa Jikoni alisoma shule ya msingi na aliishia darasa la sita (hakuhitimu elimu ya shule ya msingi), lakini anapigia Chadema. hao unaowasema wanauelewa mdogo wana kiwango gani cha elimu?
 
Wa Jikoni alisoma shule ya msingi na aliishia darasa la sita (hakuhitimu elimu ya shule ya msingi), lakini anapigia Chadema. hao unaowasema wanauelewa mdogo wana kiwango gani cha elimu?

atakuwa amekaa mjini kidogo.
 
Sidhani kama uchambuzi wako unajitosheleza. Unaposema watu wa Igunga wana uelewa mdogo una maana gani? Kama ni hivyo hiyo ni hali ya nchi nzima tu wala sio Igunga peke yake. Isitoshe watu wanaangalia sera za chama ndizo wanapigia kura.

Wewe ni kama mbunye tu huna lolote.
 
Ushindi wa CCM Igunga ni obvious kutokana na sababu moja kuu, kwamba wapiga kura ni watu wenye uelewa mdogo sana kuliko mimi na ww, na wale wenye uelewa mkubwa tuseme wasomi ndiyo hao ambao mara nyingi huwa hawapigi kura.<br>Uelewa mdogo wa mambo yanayoendelea nchini unaweza kuulinganisha na elimu duni inayotolewa na serikali ya ccm, kwa kuhakikisha shule za kata zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, maktaba n.k.<br>Mtu wa kawaida katika vijiji na kata za Igunga hajui kama tunailipa Dowans kwa uonevu kwa hali ya juu kutoka kwenye kodi zetu. Infact hajui hata hiyo kodi anailipa hata kwenye sabuni anayoitumia kuogea. Simply ni kwamba hana elimu. Vyombo vya habari kama magazeti husomwa na watu wachache mjini Igunga, wengi vijijini hawajui kusoma na hawana hela za kununulia magazeti. Hivyo hawana habari ya maovu ya ccm. CCM bado kwao ni ya mwalimu.Uislamu nao umeshika kasi yake Igunga. Tunapoongelea hili tunaongelea ufinyu wa elimu dunia kama tunavyoiita wenyewe.<br>
Umetumia muda wako wote kuandika huu upupu?
CCM itashinda kutokana na sera nzuri zinazomnufaisha mwnanchi. That's all
 
Umetumia muda wako wote kuandika huu upupu?
CCM itashinda kutokana na sera nzuri zinazomnufaisha mwnanchi. That's all

mkuu fafanua jinsi sera za CCM zilivyomnufaisha mtanzania wa igunga for your info. asilimia 80 ya wakazi wa igunga hawana maji safi
wala salama, wakazi wa igunga wenye umeme ni aslimia 11 tena usio wa uhakika. na hii ni asilimia kubwa ya Tanzania ukiondoa maeneo ya mijini hiko kama igunga.
kuhusu ushindi wa ccm mambo siyo rahisi kama watu wengi mnavyofikiria kama ingekuwa ushindi wa CCM ni obvious basi usingeona nusu
ya baraza la mawaziri na almost serikali nzima imeamia Igunga wanafanya hivyo kwa sababu hali ni ngumu sana angalia mwenyewe jinsi
mikutano ya chadema inavyokusanya watu na watu hao wanakumbushwa facts tu maana wenyewe hali ngumu ya maisha wanaiona.
 
CCM wanaweza kushinda kweli japo itabidi wacheze faru sana. Ila sasa wamefahamu kwamba watu si wajinga kama zamani kwa kuwaambia upinzani ni vita. Nafsini wanajua 2015 hali ni ngumu.
 
hapana, sababu uliyo itoa si kweliila sema wapiga kura ni walewale wa 2010 na hawajabadilisha mawazo from CUF na CCM
 
Siasa ni mabadiliko hivyo tegemea lolote alafu mwaka 2005 Musoma Mjini CCM 22000, CUF 17000 LAKINI MWAKA 2010 CDM 17000 CCM 12000 CUF 248 je unaweza kuona matokeo yalivyobadika na uliza watu wanasema wanajuta kwanini walikuwa hawajachagua UPINZANI MIAKA YOTE.
 
mkuu fafanua jinsi sera za CCM zilivyomnufaisha mtanzania wa igunga for your info. asilimia 80 ya wakazi wa igunga hawana maji safi
wala salama, wakazi wa igunga wenye umeme ni aslimia 11 tena usio wa uhakika. na hii ni asilimia kubwa ya Tanzania ukiondoa maeneo ya mijini hiko kama igunga.
kuhusu ushindi wa ccm mambo siyo rahisi kama watu wengi mnavyofikiria kama ingekuwa ushindi wa CCM ni obvious basi usingeona nusu
ya baraza la mawaziri na almost serikali nzima imeamia Igunga wanafanya hivyo kwa sababu hali ni ngumu sana angalia mwenyewe jinsi
mikutano ya chadema inavyokusanya watu na watu hao wanakumbushwa facts tu maana wenyewe hali ngumu ya maisha wanaiona.

Hata wananchi wa jimbo la Karatu hawana maji safi ingawa wanaongozwa na Magwanda
 
Sidhani kama uchambuzi wako unajitosheleza. Unaposema watu wa Igunga wana uelewa mdogo una maana gani? Kama ni hivyo hiyo ni hali ya nchi nzima tu wala sio Igunga peke yake. Isitoshe watu wanaangalia sera za chama ndizo wanapigia kura.

mkuu wanaoangalia sera ni wachache wengi wanaangali historia kuwa walikua wanaongozwa na chama gani na ndo maana mwaka 2010 ccm ilishinda zaidi vijijini hasa vile ambavyo ni masikini sana ambao hawajawa na uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule na cdm wameshinda shm zile kwa kweli maendeleo yalikuwepo na yapo nikimaanisha waliosoma na wenye uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule ndo wanakoishi
 
Ushindi wa CCM Igunga ni obvious kutokana na sababu moja kuu, kwamba wapiga kura ni watu wenye uelewa mdogo sana kuliko mimi na ww, na wale wenye uelewa mkubwa tuseme wasomi ndiyo hao ambao mara nyingi huwa hawapigi kura.<br>Uelewa mdogo wa mambo yanayoendelea nchini unaweza kuulinganisha na elimu duni inayotolewa na serikali ya ccm, kwa kuhakikisha shule za kata zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, maktaba n.k.<br>Mtu wa kawaida katika vijiji na kata za Igunga hajui kama tunailipa Dowans kwa uonevu kwa hali ya juu kutoka kwenye kodi zetu. Infact hajui hata hiyo kodi anailipa hata kwenye sabuni anayoitumia kuogea. Simply ni kwamba hana elimu. Vyombo vya habari kama magazeti husomwa na watu wachache mjini Igunga, wengi vijijini hawajui kusoma na hawana hela za kununulia magazeti. Hivyo hawana habari ya maovu ya ccm. CCM bado kwao ni ya mwalimu.Uislamu nao umeshika kasi yake Igunga. Tunapoongelea hili tunaongelea ufinyu wa elimu dunia kama tunavyoiita wenyewe.<br>
Wengi wetu huku JF si wapiga kura wa Igunga, tunakaa nje ya Igunga na hatujawahi fika Igunga. Sasa tambo za nini wakati twasubiria kujuvya kwa kupitia magazeti na redio? Tusubiri wana Igunga waseme, ila mhesabu kura asiwachagulie mbunge wana Igunga.
 
Wengi wetu huku JF si wapiga kura wa Igunga, tunakaa nje ya Igunga na hatujawahi fika Igunga. Sasa tambo za nini wakati twasubiria kujuvya kwa kupitia magazeti na redio? Tusubiri wana Igunga waseme, ila mhesabu kura asiwachagulie mbunge wana Igunga.

Hapa umenena kweli mkuu, tusisemee mioyo ya watu wa Igunga, tusubiri tu matokeo rasmi, angalizo tu ni kwamba vyama vyote vilivyoshirki kugombea kiti cha Ubunge Igunda vikubali matokeo rasmi yatakayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom