Kwa nini mwanandoa unaficha ficha simu

Kwa nini mwanandoa unaficha ficha simu

Mrs j hebu angalia mfano SMS hii waliyokuwa wana chat Mr j na lady mwingine na wala hawana mahusiano yoyote ya kingono halaf uniambie utafanyaje unaikuta kwenye simu ya mmeo Mr j.

Mr j:" bado wangu! Je wewe!?
Lady: du mi nshafika mida na tayari nimeshatoa cha mbavu kwa bosi!

Mr j: hahahahah jamaa ni noma! Hakuachi ukapumzika!?
Lady: wewe acha kabisa! Yuko fasta.kwani mama j yeye ukufika anakukodolea mimacho tu?

Mr jaaaaaa mi mpaka night Kali! Nikifika napumzika kidogo!
Lady :" mungu wangu ! Huyu mama hakufundwa eti ! Yaani anamwachia mzee mzuri kama wewe hata haonji?


Naomba jibu
Mr j hahahahah

Nipe jibu la hii Mrs j
 
Mrs j hebu angalia mfano SMS hii waliyokuwa wana chat Mr j na lady mwingine na wala hawana mahusiano yoyote ya kingono halaf uniambie utafanyaje unaikuta kwenye simu ya mmeo Mr j.

Mr j:" bado wangu! Je wewe!?
Lady: du mi nshafika mida na tayari nimeshatoa cha mbavu kwa bosi!

Mr j: hahahahah jamaa ni noma! Hakuachi ukapumzika!?
Lady: wewe acha kabisa! Yuko fasta.kwani mama j yeye ukufika anakukodolea mimacho tu?

Mr jaaaaaa mi mpaka night Kali! Nikifika napumzika kidogo!
Lady :" mungu wangu ! Huyu mama hakufundwa eti ! Yaani anamwachia mzee mzuri kama wewe hata haonji?


Naomba jibu
Mr j hahahahah

you are not serious. ndio mnavyopigania kuficha hivyo? ujinga mtupu
 
Binadamu hachungwi kwa simu na kuwa muwazi katika simu it doesnt mean kuwa kila kitu kipo sawa.Watu zatumika simu za ofisini tu. ya mkononi haiguswi.

Kama hakuna la kuficha kwa nini zitumike za ofisini tu?

Hiyo ya mkononi ina nini hadi iwe marufuku kuguswa?

Ina ebola?
 
you are not serious. ndio mnavyopigania kuficha hivyo? ujinga mtupu

Hahahahaha hapa labda cjui siko serious na nini! Unaona tayari hizo chats umeziita ujunga mtupu basi ujue ni tatizo kufekenyua sm ya mwenzio kwa sababu utakutana na ujinga mtupu utakaoumiza roho yako bure kabisaaaaaaaaaa!
 
Hahahahaha hapa labda cjui siko serious na nini! Unaona tayari hizo chats umeziita ujunga mtupu basi ujue ni tatizo kufekenyua sm ya mwenzio kwa sababu utakutana na ujinga mtupu utakaoumiza roho yako bure kabisaaaaaaaaaa!

kwa nini uongee pumba hivyo? utani utani ndio huleta kweli hayo mnayotaniana. ukificha ficha simu wewe si mwaminifu tu. kwa nini uentertain vitu mwenzio hapendi ? inaelekea unapenda sana kufurahisha wengine at your partner's cost of hapiness. haipendezi
 
Kama hakuna la kuficha kwa nini zitumike za ofisini tu?

Hiyo ya mkononi ina nini hadi iwe marufuku kuguswa?

Ina ebola?

hahahaa...itakuwa ebola kweli dhuuuu. yani watu mnaishi na wenzenu kimachale machale kama mlishikiwa mtutu wa bundiki kuwa nao. unaficha ficha tu...arghh... Mungu kisaidie kizazi hiki
 
Mwanandoa yeyote aliyekamilika hashughuliki na kazi ya kuikagua au kuichunguza simu ya mwenzi wake bali matendo ya mwenzi wake ndiyo yanayoweza kumlazimisha mwenzake kuanza kuichunguza simu na mawasiliano yake.

Ukianza kuificha na kuilinda sana simu yako kwa nia mwenzi wako asiifikie, ujue tayari umejenga mashaka na kupeleka ujumbe kwa mwenzako kuwa ndani ya simu yangu kuna mawasiliano ambayo kwa mtazamo wako siyo mazuri, baada ya hapo lazima utachunguzwa.

Maisha ya ndoa ni ya kujitoa kwa mwenzi wako, na kwa kufanya hivyo ni lazima upunguze uhuru wako. Ukiona huwezi kupunguza uhuru wako kwaajili ya mwenzako, basi usioe au usiolewe.

Kuna mzungu mmoja alikuwa na T-shirt aliyokuwa anapenda sana kuivaa, iliandikwa hivi:

'Getting married is to be enslaved, accepting slavery is accepting stupidity, is why I remain single'.

Ukiolewa au kuoa siyo tu unahitajika kuwa mwaminifu bali na mwenzi wako, kutokana na tabia, matendo na mwenendo wako, aamini kuwa wewe ni mwaminifu. Hata kama huchepuki, lakini kama unafanya matendo yanayoashiria kuwa wewe si mwaminifu, ujue kuwa tayari siyo mwaminifu.

Ukishaolewa au kuoa ni lazima uchague marafiki wanaofaa, watu wanaofaa kuwa karibu nao, na aina ya mawasiliano unayoyafanya. Kwa aliyeoa au kuolewa, kushiriki mawasiliano yasiyo na staha au heshima, ujue tayari unatengeneza mazingira ya kuharibu mahusiano yenu ya ndoa.

Ukiona huwezi kupunguza uhuru wako kwa kiasi hicho, acha kuolewa au kuoa; kama umeoa au kuolewa jiandae kuachwa au kuwa na ndoa yenye matatizo makubwa ya kimahusiano.
 
kwa nini uongee pumba hivyo? utani utani ndio huleta kweli hayo mnayotaniana. ukificha ficha simu wewe si mwaminifu tu. kwa nini uentertain vitu mwenzio hapendi ? inaelekea unapenda sana kufurahisha wengine at your partner's cost of hapiness. haipendezi

Ni ujinga sana kuwaza na kufikiri kwamba kwa vile mmeoana na mnapendana basi hata kila kitu kingine katika maisha yenu kitakuwa 100%.ni upumbafu pia kunga'nga'nia eti kila alifanyalo mmeo au mkeo ulijue hata kama halikuathiri chochote kwa kigezo cha tunapendana.kama yeye aliamua kukuoa wewe au kuolewa na we we basi inamanisha wewe ndo hitaji lake.uaminifu Wa mtu haujengwi kwa simu! Wengi wametoa mifano yao! Mwingine anaacha cm ofisini mwingine garini n.k half anafika nyumbani unafekenua cm wala huoni kitu basi unafurahiiiiii!
 
Bado sioni sababu ya kuficha ficha simu kama kweli huna cha kuficha.

Ukiwa mwaminifu kweli basi hutaona shida ya kuwa muwazi kwa mwenzako.

Ukiwa mwaminifu kweli hutaona shida ya kujibu maswali ya mwenzako.

Ukiwa mwaminifu kweli hutakuwa na sababu ya kumficha mwenzako simu yako.

Ukiwa mwaminifu kweli hutapatwa na ugonjwa wa moyo mwenzako akiishika simu yako.

Kwa hiyo hakuna kilicho kigumu hapo kama kweli upo mkweli.

uko sahihi mkuu na wala sipingi hata sehemu moja.
Ila kuna case ilitokea nikaona umuhim wa kumjua mwenza wako na ujue una deal vipi na simu.

Kuna mtu wangu wa karibu sijui alikuwa anafanyiwa kusudi au ndio tabia ya yule mwanaume wake.
Mwanaume hataki namba za wanaume kwa phone book, zaidi ya ndugu alozaliwa nao tu.
Hataki picha akute za watu wengine hasa za wanaume(mambo ya whsatsap hasa kwenye groups picha zinajaa)

hataki apige simu akute call waiting, hata ukiongea na mama yako anataka ukate, umpokelee yeye.
Na mengine mengi.
Binti alikuwa muaminifu kwa jinsi alivyoonekana na alimuheshimu sana mchumbaake huyo, walikuwa kwenye process za ndoa.
Akija, anaweza kukaa siku nzima anakagua simu wakati hawajaonana hata miezi miwili.
Alivumilia yakamshinda, akawaambia kwao hataki kuolewa na huyo bwana, wasitishe process.

Kwa mtu kama huyo, asieelewa utamwambia bado anaficha ficha simu bila sababu?
Point yangu iko pale pale. UAMINIFU NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO.
DEAL NA SIMU YAKO KUTOKANA NA AINA YA MWENZA ULIYENAE
 
uko sahihi mkuu na wala sipingi hata sehemu moja.
Ila kuna case ilitokea nikaona umuhim wa kumjua mwenza wako na ujue una deal vipi na simu.

Kuna mtu wangu wa karibu sijui alikuwa anafanyiwa kusudi au ndio tabia ya yule mwanaume wake.
Mwanaume hataki namba za wanaume kwa phone book, zaidi ya ndugu alozaliwa nao tu.
Hataki picha akute za watu wengine hasa za wanaume(mambo ya whsatsap hasa kwenye groups picha zinajaa)

hataki apige simu akute call waiting, hata ukiongea na mama yako anataka ukate, umpokelee yeye.
Na mengine mengi.
Binti alikuwa muaminifu kwa jinsi alivyoonekana na alimuheshimu sana mchumbaake huyo, walikuwa kwenye process za ndoa.
Akija, anaweza kukaa siku nzima anakagua simu wakati hawajaonana hata miezi miwili.
Alivumilia yakamshinda, akawaambia kwao hataki kuolewa na huyo bwana, wasitishe process.

Kwa mtu kama huyo, asieelewa utamwambia bado anaficha ficha simu bila sababu?
Point yangu iko pale pale. UAMINIFU NI MUHIMU KATIKA MAHUSIANO.
DEAL NA SIMU YAKO KUTOKANA NA AINA YA MWENZA ULIYENAE

Sasa huyo jamaa naye alikuwa na matatizo yaliyo zaidi ya simu ya mwenzake.

Lakini katika hali ya kawaida kuficha ficha simu ni dalili ya kutokujiamini na uaminifu wako!
 
simu ni privacy mtu na ndomana kila mtu anamiliki simu yake,

We wa wap we simu ni private ndan ya ndoa? Yaan mke/Mme muoge pamoja,mle pamoja,kuuguzana pamoja,mlale uchi,papuchi,gegedo mpeane, afu simu ndo eti privacy? Ndan ya ndoa hili jambo ntapinga had kesho, ni kuendekeza michepuko tu.
 
Ni amani saaaana ndani ya ndoa kama simu ya mpenzio una Uhuru nayo ukiona mwanandoa anakomaa eti simu ni privacy yake wakati hata size ya pichu,sindilia unaijua hapo kina walakini akili ya kuambiwa_____,
 
We wa wap we simu ni private ndan ya ndoa? Yaan mke/Mme muoge pamoja,mle pamoja,kuuguzana pamoja,mlale uchi,papuchi,gegedo mpeane, afu simu ndo eti privacy? Ndan ya ndoa hili jambo ntapinga had kesho, ni kuendekeza michepuko tu.

uko sahihi mkuu privacy ndani ya ndoa na changamoto.
 
sifichi simu,sifichi lolote na sitaki mtu afichae simu na pia sion mantik ya wewe kunifichia sim kama sio uasherati ni nini

si delete msg wala siweki pasword,sasa wewe nikishika sim yako nakuta nyeupe maana yake nini???kama sio uzinzi uliotukuka


ukikubali kuolea/kuoa basi lala bila kyupi HUU USEMI UNA MENGI unataka uhuru wako basi usioe wala kuolewa ishi mwenyewe milele

ndo maana tunasema pingu za maisha
 
Ni amani saaaana ndani ya ndoa kama simu ya mpenzio una Uhuru nayo ukiona mwanandoa anakomaa eti simu ni privacy yake wakati hata size ya pichu,sindilia unaijua hapo kina walakini akili ya kuambiwa_____,

changanya na yako
 
Ni ujinga sana kuwaza na kufikiri kwamba kwa vile mmeoana na mnapendana basi hata kila kitu kingine katika maisha yenu kitakuwa 100%.ni upumbafu pia kunga'nga'nia eti kila alifanyalo mmeo au mkeo ulijue hata kama halikuathiri chochote kwa kigezo cha tunapendana.kama yeye aliamua kukuoa wewe au kuolewa na we we basi inamanisha wewe ndo hitaji lake.uaminifu Wa mtu haujengwi kwa simu! Wengi wametoa mifano yao! Mwingine anaacha cm ofisini mwingine garini n.k half anafika nyumbani unafekenua cm wala huoni kitu basi unafurahiiiiii!

hayo maelezo yako bado yanaonesha mmojawapo kwenye hiyo union ana walakini, mbinafsi na mficha ficha mambo na bado anapenda ujinga ujinga fulani na watu fulani nje
 
Kwa hiyo wewe kwa akili yako unaamini mwanaume ambae hafichi simu huyo hachepuki eh..? Kalaghabaho.. simu utaachiwa wewe ukae nayo na watu wanachepuka kama kawaida. Hakuna binadamu asie na siri.. wewe mwenyewe hapo una siri zako ambazo mumeo hazijui hata kama huzifichi kwenye simu umezificha moyoni..!

Watu wengine sijui mnawazaje mada inasema wanandoa kufichiana simu we unatupeleka kuachiwa simu ila ngoja nikwambie ndoa za wazee wetu zilidumu sana kwa sababu ya uwazi na ukweli ndani ya nyumba au kwa kuwa simu hazikuwepo barua zilisomwa mbele ya familia baada ya chakula cha usiku.
 
Ukweli unabaki kuwa mficha simu ndoan ni mzinz na mambo mengine machafu tu that final.
 
Back
Top Bottom