The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Wana Jamii Forum.
Ni kwa nini Lissu asipewe shahada ya udaktari wa falsafa, Doctor of Philosophy. Hata kama hatapewa na hivi vyuo vyetu basi sisi wananchi wa kawaida tunaweza kumpa hiyo heshima.
Hii shahada ya udaktari wa falsafa ya Lissu ni kutokana na ujasiri wake wa kusema ukweli bila kuogopa, kusema ukweli bila kupepesa macho.
Tunajua watawala siku zote hawapendi kuambiwa ukweli hata kama ukweli huo ungewasaidia kuokoa maisha yao au vyeo vyao, wengi husema ni wakweli ila moyoni hawapendi ukweli na hawataki wananchi wajue ukweli, akijitokeza mtu anasema ukweli au anawafundisha wananchi ukweli huyo lazima wafanye kila namna kumuondoa.
Lissu ni amesimama kidete kusema ukweli bila kuyumba huku akijua wazi kabisa kua huo ukweli ungeweza kugharimu maisha yake. Kuna haja ya sisi watanzania wapenda ukweli kutambua hilo na kumpa heshima yake Lissu.
Kuanzia sasa naomba wana JF tuanze kumuita Lissu Dr. Tundu Lissu.
Ni kwa nini Lissu asipewe shahada ya udaktari wa falsafa, Doctor of Philosophy. Hata kama hatapewa na hivi vyuo vyetu basi sisi wananchi wa kawaida tunaweza kumpa hiyo heshima.
Hii shahada ya udaktari wa falsafa ya Lissu ni kutokana na ujasiri wake wa kusema ukweli bila kuogopa, kusema ukweli bila kupepesa macho.
Tunajua watawala siku zote hawapendi kuambiwa ukweli hata kama ukweli huo ungewasaidia kuokoa maisha yao au vyeo vyao, wengi husema ni wakweli ila moyoni hawapendi ukweli na hawataki wananchi wajue ukweli, akijitokeza mtu anasema ukweli au anawafundisha wananchi ukweli huyo lazima wafanye kila namna kumuondoa.
Lissu ni amesimama kidete kusema ukweli bila kuyumba huku akijua wazi kabisa kua huo ukweli ungeweza kugharimu maisha yake. Kuna haja ya sisi watanzania wapenda ukweli kutambua hilo na kumpa heshima yake Lissu.
Kuanzia sasa naomba wana JF tuanze kumuita Lissu Dr. Tundu Lissu.