Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
wewe amina acha uzungu amyner! Je nyie mnapendezaga mkivaa skirt za cream ambazo zinapita magot?Mnapendezaga sana mkivaa black trouser sema isiwe ndo kauka nikuvae sasa..
wewe amina acha uzungu amyner! Je nyie mnapendezaga mkivaa skirt za cream ambazo zinapita magot?Mnapendezaga sana mkivaa black trouser sema isiwe ndo kauka nikuvae sasa..
1. Best colour,
2. haioneshi uchafu kama nguo za rangi nyingine,
3. zinamatch na kiatu rangi yeyote
Ukitaka kupata jibu sahihi basi nunua Suruali nyeupe halafu itinge..
Utakacho ki notice ndiyo sababu ya Suruali nyeusi kuwa most preferable..
uko sawa mkuu...
japo sababu yapili inaweza ikawa ya kwanza...if it is to rank!tehe
1. Best colour,
2. haioneshi uchafu kama nguo za rangi nyingine,
3. zinamatch na kiatu rangi yeyote
wewe amina acha uzungu amyner! Je nyie mnapendezaga mkivaa skirt za cream ambazo zinapita magot?
unapenda jeans eeeh......mmmhh.....
kwa sana tu,..nilisahau sababu nyingine moja,.inanipa swaga,..hivi preta bajaj yako inapiga trip za wapi?
kizimkazi-chuini....
lakini kwa sababu ni wewe........nitabadili route.....
kizimkazi-chuini....
lakini kwa sababu ni wewe........nitabadili route.....
itabidi ivumilie route ya samvulachole..lol
Kiukweli huwa mnapendeza jaman,
Km rejao wangu akitoka na suruali nyeusi shati light bluu,au cream,au ile yellow flan ambayo haijakolea sana chin moka nyeusi na tai nyeus au hata asipotupia hiyo tai ebwana huwa sikubali atoke peke yake japao namili pasiword lol!
EBWAANA UMENIGUSA, hapa nina suruali nne, nyeusi na mbili za rangi tofauti, ikiwapo kaki na cardeti moja
KWANINI, ninapenda suruali ya rangi nyeusi?
1. ni professional suruali kwani viongozi wengi huvaa mfano OBAMA hupenda sana kuvaa suti nyeusi,
2. inaendana na masharti ya rangi nyingi sana, asilimia kubwa ya mashati.
3. Kwa upande wa blacktrousers models zinamkaa kila mwanaume.
4. Ulivaa black trouser unaoneakana mtu wa heshima kidogo (NOT YET PROVED)
5. JAMANI I LIKE IT, YAANI MPAKA SASA NIMEVAAA. NO ONE CAN CHANGE MA MIND ON PURCHASING BLACK TROUSERS
Nina njaa.......hii rangi bana...
inashawishi...