Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Mh. Alishtuka na kushangaa sana pindi wabunge wa CHADEMA walipoinuka na kutoka bungeni, Kwa mtazamo wangu hakuwa na taarifa kwamba CHADEMA walikuwa na mpango ule, Cha kushangaza watu kwa maelfu nchini na nje walijua fika kuwa pindi atakapokaribishwa ili aanze kutoa hotuba ya kufungua bunge basi wabunge wa CHADEMA wangetoka bungeni,
JE inamaana alikuwa halijui hili na kama ndivyo wasaidizi wake huwa hawamwelezi ni nini kinaendelea kwenye vyombo vya habari?.
Wasalaam
BNN
JE inamaana alikuwa halijui hili na kama ndivyo wasaidizi wake huwa hawamwelezi ni nini kinaendelea kwenye vyombo vya habari?.
Wasalaam
BNN