Kwa nini dr. Slaa anaingia jf mara kwa mara?

Mabel

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,273
678
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambayo ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.
 
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambao ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.

Acha hizo! wee umeingia moyoni mwake kuona anaumia? Muache mwenyewe aseme tutamsikia na kila mtu ataheshimu maoni yake wala hahitaji mpiga debe! tunautambua mchango wake bila wewe!! acha kujipendekeza.
 
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambayo ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.


Mkuu kila binadamu ana hulka yake. Uvumilivu ni moja ya sifa zozote unazotakiwa akuwa nazo kama ukiwa kiongozi. Ukiwa kiongopzi ukumbuke kuwa unaongoza wazuri, wabaya na wasiojua na unajumuika nao. Huwezi kuwa mfalme kama unakaa kwenye kasri tu, lazima ujue matatizo ya watu wako ili uwe mfalme mzuri.

Sio Slaa tu, kuna wengine wengi wanatukanwa kila siku lakini bado wako hapa, ndio sifa moja ya kiongozi wa kweli.
 
Acha hizo! wee umeingia moyoni mwake kuona anaumia? Muache mwenyewe aseme tutamsikia na kila mtu ataheshimu maoni yake wala hahitaji mpiga debe! tunautambua mchango wake bila wewe!! acha kujipendekeza.

Mkuu mtu hunena yale yajazayo nafsi yake, na hutenda vivyo hivyo.
 
Mkuu kila binadamu ana hulka yake. Uvumilivu ni moja ya sifa zozote unazotakiwa akuwa nazo kama ukiwa kiongozi. Ukiwa kiongopzi ukumbuke kuwa unaongoza wazuri, wabaya na wasiojua na unajumuika nao. Huwezi kuwa mfalme kama unakaa kwenye kasri tu, lazima ujue matatizo ya watu wako ili uwe mfalme mzuri.

Sio Slaa tu, kuna wengine wengi wanatukanwa kila siku lakini bado wako hapa, ndio sifa moja ya kiongozi wa kweli.
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa, ila mimi hapa nimeongelea mtu mmoja tu, ni kweli wapo wengi.
 
JF ni moja ya communication medium... na kama wewe ni mtu wa watu utatumia all means of communication na hii ikiwa moja wapo..
 
Na hata leo alikuwepo na amechangia na vizuri yeye kama kiongozi kusikiliza na kushirikiana na wananchi wanapojadili mambo mbalimbali.
 
JF ni moja ya communication medium... na kama wewe ni mtu wa watu utatumia all means of communication na hii ikiwa moja wapo..

Ni kweli mkuu, na hapa kama kiongozi unapata matatizo ya wananchi wako kutoka kwenye ground state, siyo sawa na yale yakuletewe na wasaidizi wako kwani yanakuwa yamechakachuliwa
 
Na hata leo alikuwepo na amechangia na vizuri yeye kama kiongozi kusikiliza na kushirikiana na wananchi wanapojadili mambo mbalimbali.
Uko sahihi Derimto, nimemsoma kwa uzuri kwenye thread inayomhusu mnyika
 
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambayo ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.

Mkuu hapo kwenye RED inaonywesha dalili za Ushabiki kwani ni vigumu kudhibitisha isipokuwa tu yeye angesema hivyo!

LAKINI
Ukweli utabaki palepale kuwa Dr. Slaa mpaka sasa ameonekana kuwa mwanasiasa makini na mtetezi hodari wa masilahi ya nchi yetu. Tunatamani wanasiasa wengine waige mfano wake. Mungu ibariki Tanzania!

 
Yeye kama kiongozi wa Chadema na hiki kijiwe kina wanachama wake wengi, lazima apitie kupima hali ya hewa. Kwa taarifa yako, baadhi ya mabomu anayolipua huwa anayatoa humu ndani!
 
mwacheni Dr ajimwage jamani,kwani tuko huru tz hakuna wa kumpangia Dr nini afanye yeye ajuwa ni afanyalo

mapinduziiii daimaaaa
 
WanaJF,
Elimu haina mwisho hadi unaingia Kaburini. Ninaingia mitandao mbalimbali na siyo JF tu. Naamani ni mahali pia ninaweza kutoa mchango wangu wa mawazo licha ya kujifunza kutoka kwa wenzangu. Ningetamani kuona tunajadili hoja zenye manufaa zaidi kwa Taifa letu kuliko kutukanana na pengine kama kweli mtu haelewi kitu ni vema akaelmishwa. Ushabiki, unapoteza sana muda, na kwa bahati mbaya tunasahau kuwa muda ni fedha na sehemu ya umaskini wetu inasababishwa na kukosekana kwa umakini katika kutumia mitandao kama hii "constructively and positively". Mitandao pia ni "very informative". Kwa wale wasiojua, takriban kipindi chote cha Kampeni sikuwa ninasoma magazeti kwa kuwa sehemu nyingi ya nchi yetu au magazeti hayafiki au yanafika kwa kuchelewa sana. Lakini source yangu kubwa ya Information ilikuwa mitandao ambayo nilikuwa ninatumia. That is probably the difference tuko tunaotumia mitandao kwa Tija na wako wanaotumia mitandao destructively. I think this is where we can make the difference. The issue is who decides what is constructive and what is destructive, there are always rules of objectivity and this is what rolls the ball.
 
Mkuu hapo kwenye RED inaonywesha dalili za Ushabiki kwani ni vigumu kudhibitisha isipokuwa tu yeye angesema hivyo!

LAKINI
Ukweli utabaki palepale kuwa Dr. Slaa mpaka sasa ameonekana kuwa mwanasiasa makini na mtetezi hodari wa masilahi ya nchi yetu. Tunatamani wanasiasa wengine waige mfano wake. Mungu ibariki Tanzania!

Nashukuru tuko pamoja
 
Slaa is the great thinker lazima awepo hewani utaongoza vipi watu kama huwasiliani nao-nenda kwenye facebook utamkuta Obama 24/7, sishangai slaa kuwepo humu this is the right approach to take for him to reach the intended goals kuna vimeo humu JF kama NewDawn and Mwiba watatoa matus na propaganda za kizushi kila siku lakini ukweli utabaki palepale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom