Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,950
- 23,246
- Thread starter
- #21
AiseeNi mipango ya wakubwa haiwezekani ndani ya miezi kadhaa kariakoo na karume kuungue hapana.
AiseeNi mipango ya wakubwa haiwezekani ndani ya miezi kadhaa kariakoo na karume kuungue hapana.
Sasa huyu mbn Kama ndy mwenye nchi? Nani atathubutu kumtumbua sasa?Jipu hilo!
Mtajenga soko Sawa,Vp kuhusu mitaji yetu iliyoteketea ndugu mwanasiasa?Tutajenga soko la kisasa.
Poleni wahanga wote.
Fire wanazimaje moto uliowashwa na wanaonunua magari ya zimamoto ?Af fire si nyuma tu pale kkoo hamna umbali wowote
Nakubali mzee... maana hata pale kiwanda cha bia si kuna fire ndani muleFire wanazimaje moto uliowashwa na wanaonunua magari ya zimamoto ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oops waziri mwenye dhamana atalisimamia hiloMtajenga soko Sawa,Vp kuhusu mitaji yetu iliyoteketea ndugu mwanasiasa?
Kuna mdau mmoja kasema anapoongoza Amos Makala majanga ya Moto ni Jambo la kawaida 😅Ni aibu kweli, moto unawaka usiku muda ambao shughuli zote zinazohitaji umeme hazitumii umeme, ila mchana muda ambao watu wako busy kutumia umeme moto hauwaki… hiki ni kichekesho hata chizi anaelewa ni kitu gani kinaendelea.
Ndiyo mwendo wa kujipimia. Hapo kuna mwamba ameshajipimia soko la Karume
Hii sijaelewa mkuu nieleweshe.
Sawa cc walalahoi tunaenda kufanyia biashara zetu wapi?Ndiyo mwendo wa kujipimia. Hapo kuna mwamba ameshajipimia soko la Karume
Sawa cc walalahoi tunaenda kufanyia biashara zetu wapi?Ndiyo mwendo wa kujipimia. Hapo kuna mwamba ameshajipimia soko la Karume
kuna ule moto unaokulaga ule msikiti wa kinondoni biafra karibu kila mwaka hata sijui unaletwaga na nani.Wakati mwingine utadhani huu moto una consciousness.
Kuna kipindi ulikula Shule hasa za kiislam mfululizo.
Sasa hivi inaonekana upo busy na Masoko.
Jipu hilo!Hii sijaelewa mkuu nieleweshe.