Kwa nilichoshuhudia coco beach nadhani hakuna corona Dar

Kwa nilichoshuhudia coco beach nadhani hakuna corona Dar

acheni watu wale bata. ..kifo kipo tu hata usipopata corona utakufa..Tunaishi ili tufe
 
View attachment 1459499
Leo ni siku ya PILI watu waki enjoy siku kuu ya Eid!

Nimetembea hadi coco beach kwenye PARTE AFTER PARTE YA MKOA LEO, nilifika pale mida ya saa kumi jioni nikiwa nataka kuona kwa macho kama ni kweli watu wana enjoy bila hofu!

Nimeshuhudia watu weeeengi kabisa watoto kwa watu wazima, watanzania kwa wazungu, waarabu na wahindi.

Watu hatukuvaa barakoa wala social distance,
Tulijazana na kuogelea makundi makundi kama zamani!

Watu waliotoka Gongo la Mboto, Mbagala na Temeke au Ilala huko walijaza ufukwe!
Watu walikua wanakula chakula walichobeba kutoka home, wengine walinunua mihogo, soda na beer!
Wengine walipata wapenzi wapyaaaaa japo wengi ni wasichana wadogo wadogo na sio wasafi!
Kwa umati nilioshihudia leo NADHANI hakuna corona virus dar es Salaam!
Kama ipo tumeumia.

View attachment 1459503

Video: chini

Watu wanaji-coronize kama alivyosema akiwa chattle.
 
Nimeona Brazil na Chile namna korona inavyotafuna kwa sasa, sisi tumeambiwa tunakingwa na maombi. Sasa najiuliza hayo maombi yanayofanyika hapo coco beach ni maombi gani....zaidi ya watu kujirusha kwa kwenda mbele, pombe sana na mademu.......
 
Kuna mambo menbgine haihitaji kuambiwa,ukipewa elimu usitegemee kufundishwa namna ya kuitumia.
 
Ndio maana balozzi Wa US kawaambi wananchi warudi makwao.
Kama think tank ni makonda na nchemba
What do you expect
Hapo katumia lugha kimya kimya kumfukuza mtu mzima pasi kujitambua, I mean beberu katimuliwa pasipo kujijua, si walimzuia asiingie amerika sasa wanaondoka kiaina🤔.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom