Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,674
- Thread starter
- #21
Anakuaga mzee wa seat mbele ( front page
Anakuaga mzee wa seat mbele ( front page
Kimya kimyaNa wengine wakifia makwao hatutajua
Inaeza kuwa kweli aiseeHata Mimi naamini corona imeisha hao watu hapo maana yake ni kwamba katika familia zao hawana hata mgonjwa mmoja wa corona aliyelazwa Amana au mloganzila
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaiskia leo!hivi ile korona jingle bado inapigwa?
😂 😂 😂 😂 😂Wabongo bwana,mnahofia kitu ambacho ukitune akili vizuri hakiwezi kukupata!!!corona ni gonjwa la hisia.
Hahaha mkuu naona umerudi katika nafasi yako pendwaWanakwambia LIWALO na LIWE
Kusonga mbeleCorona ipo ila ni vijimafua visivyo na madhara yani unapona bila kumeza hata piliton nawaambia hivi chapeni kazi!
Hata Mimi naamini corona imeisha hao watu hapo maana yake ni kwamba katika familia zao hawana hata mgonjwa mmoja wa corona aliyelazwa Amana au mloganzila
Sent using Jamii Forums mobile app
watanzania kwa wazungu, waarabu na wahindi.
Alafu kila wanavyowaza kutokea hola ndipo huwa wanachanganyikiwa zaid na nyinyi warekan wa buza ndio mnaumia zaidiNdio maana balozzi Wa US kawaambi wananchi warudi makwao.
Kama think tank ni makonda na nchemba
What do you expect
Hujawaona kwa kuwa sijaweka picha, lakini mimi nikuapo na mieshuhudia watuKwenye picha na hiyo video sijabahatika kuona hao wazungu, waarabu wala wahindi
Mtaomba Sana ila holaaaBrazil ya pili hiyooooooo inakuja
Tutalia na kusaga meno
WHO watawawajibisha watu fulani fulani
Kuanzia week ijayo tutafutana
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
So sad
SawaHujawaona kwa kuwa sijaweka picha, lakini mimi nikuapo na mieshuhudia watu