kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
Kuna msichana tunakaa naye mtaa mmoja alisema ananipenda na kila nikienda mtaan kwao huwa ananishobokea kusema ananipenda. Nikaamua kuchukua namba yake na kumuuliza kweli unanipenda akasema ee
But kila nikimtumia text hajibu nikimtumia Vocha ili ajibu text but anakaa kimya tuu je kweli uyu mwanamke ananipenda wakat tukikutana anasema huwa ananipenda
Nipe ushauri nimuache au
But kila nikimtumia text hajibu nikimtumia Vocha ili ajibu text but anakaa kimya tuu je kweli uyu mwanamke ananipenda wakat tukikutana anasema huwa ananipenda
Nipe ushauri nimuache au