kid ink tz
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 307
- 320
- Thread starter
- #61
Nikimuita geto hatakiHajiongez anataka kuchat chat tu wakat mtot anataka mashine
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Nikimuita geto hatakiHajiongez anataka kuchat chat tu wakat mtot anataka mashine
Asante brokid ink tz mkuu huyo atakuwa na upendo wa dhati kwako lakin hapo wewe ndiyo tatizo kuu, hauko seriously muoga unamuogopa huyo demu na demu anakuchukulia Poa.
Nakushauri kama huwa unaenda na kukutana nae, nenda kamface na umwambie kuwa upo seriously na unampenda kweli na umkazie umwambie kama unanipenda niambie na kama hunipendi sema nishike hamsini zangu.
Vinginevyo utatuma vocha na hizo vocha wanapigiwa wanaomla papuchi wala hupigiwi wewe na wala hujibiwi sms.
PamojaMapenzi hayalazimishwi mkuu.Endelea na majukumu mengine.Huyo ni wa mtu mwingine.Kisicho ridhiki hakiliki
Wewe ni Mjinga sana mkuu. Kipindi hichi unamtumia dem pesa hovyoo hovyooo..... alafu hakujibu....
Wakati kipindi hichiiii ukimpa dem 10,000 anabandika picha yako ukutanii / anaweka kwenye frem






Kuandika anajuaM limenijia wazo kuwa ..huyo Dada hajui kuandika kabla hujafanya maamuzi mengine jaribu kufatilia kwanza...na kama ni vinginevyo basi ujue hakupendi anaku enjoy tuu!
Umeona umu kila mtuu demu akimwambia ana mpenda anawaza rungu but uyo demu na mm nimetokea kumpendaWewe unampenda? Nitakushauri nikijua sababu za kuandika ujumbe kwake na ulichosema katika ujumbe huo.
Miafrika mingi hasa mitanzania inafikiri kupendwa ni mpaka ipewe nafasi ya kupiga rungu!
Hahahah kweliHuyo anapenda kukuona sio kupenda pumbu
Kuna msichana tunakaa naye mtaa mmoja alisema ananipendaKuna msichana tunakaa naye mtaa mmoja alisema ananipenda na kila nikienda mtaan kwao huwa ananishobokea kusema ananipenda. Nikaamua kuchukua namba yake na kumuuliza kweli unanipenda akasema ee
But kila nikimtumia text hajibu nikimtumia Vocha ili ajibu text but anakaa kimya tuu je kweli uyu mwanamke ananipenda wakat tukikutana anasema huwa ananipenda
Nipe ushauri nimuache au
Mbangayao unakujua ?Mkuu huo ndiyo ushauri aliouomba kutoka kwako???? Hahahahaha
Mmmh itakuwa but hana mumeAchana na demu\mke wa mtu bro
J3 si ndo mnafungua shule?
Shule zimefungwa mapumziko ya Pasaka
Ukimtumia vocha huwa anaongea nami(umeingia cha kike Mzee).Hakupendi..mtumie msg ya kumtukana