Kwa mwendo anaokwenda nao Rais Magufuli, upinzani unakufa kifo kitakatifu.

Mi nadhani uliowataji wala hawatoroki.
Hao wanarudi nyumbani.
 

Mkulu mimi nadhani wengi wetu hatuelewi maana ya kuwa na vyama upinzani vya kisiasa. Unasikia mtu anasema amehama chama kwa sababu kiongozi fulani amefanya vizuri.

Leo nilikuwa nasikia bbc world service wakiwahoji wa zimbwabwe walioko Harare,South AFrica na London.....kuna dada mmoja ameongea vizuri sana alisema tatizo la vijana wengi Africa hawana msimamo na mpaka hapo waafrica tutakapo acha tabia ya kuwakubali viongozi wawe miungu watu hapo ndio tutaweza kujitawala kwa maendeleo
 
tuwachambue hawa wanaoenda ccm wanaenda kujenga au wana agenda zao za vyeo ,na kupunguza makali ya njaa .tukishawachambua mmoja mmoja utaona kama kweli wana enda kuijenga ccm au kubomoa upinzani .tuanze PASKALI
 
I think it's worth mentioning that the most committed members of a political party are the reason for the political party's resilience and ultimate success. Unfortunately, our political parties probably have way too few committed members. As a result, most of these parties cannot survive without subsidy from the government and/or financial support from a handful of its members, most of whom also happen to be the party founders. This acute dependence on highly concentrated financial support causes such political parties to be treated and run like family businesses. ...That's why politicians such as Maalim, Mzee Mapesa, etc. have been at the helm for as long as their political parties have existed. They literally are more important than their parties.

A respectable number of members should care deeply enough to provide whatever support their party needs to achieve its objectives. The sheer breadth and depth of members' investedness should elicit an appropriate level of accountability from all office bearers. ...In the developed world, political parties receive not a single penny from their governments, but they're much better than our political parties!
 
Upinzani ni mawazo/ideology sio watu . Hauwezi kuumaliza mawazo kinzani.. nakuhakikishia hata mbowe akihama leo chadema itaendelea kuwepo na upinzani utazidi kuishi..
 
Masha kweli ni mjinga tena mchumia tumbo kabisaaaa.
Anapohama kurudi ccm, na kusema "nimeona upinzani hauna nia ya kushika dola" tafsiri yake ni kwamba; alitegemea labda upinzani mwaka 2015 ungeshika dola na kisha wampe/wamrudishie cheo chake. Sasa hari ni tofauti kabisa ambapo hakuna hata cheo chochote alichopewa ndani ya CDM, kwa hiyo solution yake ni kurudi alikotoka ambako anaona Kuna uafadhali wa kupata/kurudishiwa vyeo vyake, simply kwa kuwa CCM kimeshika dola.
Mapambano ya dhati huwa hayahitaji tamaa ya vyeo, fedha n.k......
Lakini vile vile masha kaona biashara zake haziendi vyema akiwa upinzani, so ni kurudi tu CCM.
 
JPM hajawahi kuchukia ufisadi wakati yeye in sehemu ya ufisadi. Anachukia kuona watu wanafaidika kama alivyosema mwenyewe kuwa anapenda kuona tukiishi kama mashetani

Kifupi ni mtu mwenye roho mbaya sana, mbinafsi na mpenda sifa kupindukia.

jiulize angekuwa anachukia rushwa vipi anatumia pesa ya uma kununua wapinzani. kuhonga wabunge wapitishe hoja zake na kutumia pesa za uma kinyume na taratibu zilizowekwa kikatiba?
 
kuzuia matamanio ya binadamu binadamu ni ngumu sana,kwa mawazo yake ataona kama anaua upinzani kumbe ndio unazidi na kuimarika na wapinzani sio mpaka watoke nje ya chama wengine anao humo hmo ndani ya chama chake.hitaji la watu kwa sasa ni ccm kutoka madarakani sio kingine na wale msioamini subirini 2o2o hali ya uchaguzi itakua ngumu sana kwa ccm kuliko hata wanavyodhani,
 
Huu si wakati wa kumjadili magufuli wala ccm,ingependa kama ungejadiliwa upinzani,lakini kwa mahaba yalivyowazidi mnawajadili ccm kana kwamba ccm wanajali upinzani ukifa
CCM ndiye baba, bahati mbaya wamekuwa wabinafsi, wasiopenda wenzao washiriki siasa kama wao wanavuoshiriki. Ingawa kwa sasa wanajiona wanafaidika na hali hiyo lkn wanaweka rehani mustakabali wa nchi yetu kwa kuwabana wenzao wakati wao wanafanya siasa kama kawaida.

Kama unadhani kuna mambo mema wanafanya (mimi naamini yapo) lkn hili la kuzuia sauti za wapinzani wao ambao kmsingi, kimaadili na kisheria wanapaswa kuwa huru kufanya siasa (kama wafanyavyo CCM ) wenye hekima hawawezi kulinyamazia. Kuminya uhuru wa watu wenye mawazo kinzani ni hatari sana, Gaddafi aliwafanyia mema watu wake lkn kwa kudhibiti uhuru wa watu wake ilikukuwa alikuwa anawafungulia mango adui zake, kuwakamata, kuwatesa, kuwatisha na kuwatia kizuizini wapinzani wake kulitosha kugeuza mazuri yake yote kuwa ubatili.

Vv
 
Sawa CCM
 
upinzani unapotea. na upinzan unajikaanga wenyew kw yule samaki waliyemuweka kweny tenga Edo, Si unajua Samaki m1 akioza. CCM walipoona Samaki yule kaoza wakamtupa, wapinzan wakamuokota hapi ndio matatzo yakaongezeka CHADEMA.
 
Hiyo ndio kazi tuliyomtuma ikulu? , tulimtuma kazi nyingine yeye anafanya kazi nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…