I was not underestimating them, but understanding them.
Una miaka mingine mitano ya kutawaliwa na CCM. Your calculations didn't go right.
Hivi uliamka kweli? B'se your comments are overdue.
You asked AshaDii in one of your post if she is sad or angry; come to think of it myself, i really dont know how i feel. A classic case of being stuck between a rock and a really hard place!
You gotta give it to AshaDii on this one, she saw this one coming and put in record! I mean, i went through her post, and its tick, tick, tick, tick.. The first comment was " Huna Hoja".
Habari wana Jf,
.
.
.
Kupokea kwa Oil Chafu toka CCM
Ni ajabu sana kuwa CHADEMA wapo haraka sana katika kupokea viongozi toka chama kingine (hasa cha wapinzani wao wakuu CCM) kwa mbwembwe na matangazo. Utata unakuja pale ambapo huyo aliyejitoa CCM ni Kiongozi na akifika CDM anapewa uongozi? Hiyo ni hatarishi kama huyo mtu ni pandikizi, pia kwa namna moja ama nyingine kuwanyima haki wale ambao wanaweza hiyo nafasi nje ya huyo mgeni. ; Hili litatokea na ni moja ya mambo ambayo yataigharimu CHADEMA urais 2015; CHADEMA wanaweza kuepuka kuwa chama chakupokea wale wote ambao wanaogopa kusimama kama wagombea wa CCM e 2015 kutokana na nguvu ya CHADEMA
Bahati mbaya siyo kutokana na Mapenzi juu ya CHADEMA na taifa, bali kwa nafsi na ubinafsi wao. Ni muhimu CHADEMA wakaliangalia upya hili; pengine CHADEMA waje na tamko kwamba mtu yeyote ambaye atahama kutoka CCM dadika ya mwisho hatopata nafasi ya kugombea kwani ni kuwanyima haki loyalists. Chama kije na kanuni kwamba ni lazima ujiunge na CHADEMA miaka miwili kwa mfano before uchaguzi ili uweze kupata experience na chama etc.
Pamoja Saana,
AshaDii.
Huna hoja
So prophetic. Hasa hapo bluu.
Hivi wewe kweli sio nabii, mtume, majusi, Lady-Nostradamus, vizier, oracle, au nani tena? Nimenunua tiketi yangu ya bahati nasibu hivi nitashinda kesho kutwa? LOL.
Eh? Uliyaona haya February 2013? Haki ya nani wanapaswa kukufanya mwenyekiti wa CDM sasa - hamna utata.
Wakiambiwa wapitie huku kwa maGreat Thinkers wanasema "HUNA HOJA WEWE" - unaona sasa imewacost.
Big up madam.
Hamna kinachojieleza chenyewe...tusizungumze kana kwamba huu uchaguzi umeenda vizuri na matokeo tuliotangaziwa ndo yenyewe...mpaka hapa tunajua kura zimechakachuliwa na hii tayari imeshaingia kwenye historia....Ukijifunza kufikiri au kutoa hoja bila kuwa na emotions, or unbiased perspective, mambo mengi yapo wazi na yanajieleza yenyewe.
You got me right AJ, But i did not get that you got me the way you did. Your prior statement was too brief :A S angel:.
Enways how Sun Wu is applicable here?
In a way these two parties are in war... Hadi mara nyingine huwa wanajisahau kuwa wapo kwa ajili yetu ni si kwa ajili ya kushindana kwao. In the process ya dimba zao za kisiasa, there some instances hufanya vitu na vitendo kana kwamba wananchi ni wajinga mno na hawatambui wala kuelewa nini kinaendelea.
Hizo techinic za Sun Wu zinaingia kabisa... To him unapo pata ushindi haijalishi umepata ushindi kwa kutumia njia ipi ili mradi umeshinda. That is to say... CCM may win 2015, lakini haina maana kuwa ushindi wao huo unaweza kuwa umepatikana kwa kihalali kabisa.