Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Hakuna Nchi iliyowahi kufanya hivyo tusubirie tu amalize mda wake mkoloni wa KisuKUMA
Nawaza tu kwa MFANO hiki kinachosemwa ya KUWA bunge LIMEJIPANGA kumwondoa RAIS madarakani ni cha kweli na ikatokea imefanikiwa.....ni yapi yatakuwa ni madhara kupitia CCM...
Hopefully tutafanya UCHAGUZI mkuu....sasa hofu yangu juu ya hili LA KUMWONDOA RAIS NI NDOTO na halitokujafanikiwa KAMWE ni hii...
Ni nani hasa ni MBADALA WA MAGUFULI ndani ya CCM???.....na ambae hatauzika vizuri huku nje bila tatzo???Kidogo Unaweza sema ni MEMBE but huyu MEMBE ana makando kando yake pia NA PIA si MEMBE tu wapo pia HAZINA KUBWA YA VIJANA kama MWIGULU..JANUARY na wengine but tukumbuke mpaka sasa HUYU RAIS aliyepo MADARAKANI tayari ana watiifu wake MWISHO wa siku ITATOKEA MIFARAKANO YA SISI WENYE KWA WENYEWE NA kuwafaidisha WAPINZANI....kupitia HILI HAKUNA MBUNGE WA CCM anaeweza kuruhusu huu UPUUZI hata kama ana mchukia JPM....sisi NDANI ya CCM tuna kauli ifuatayo 'CHAMA KWANZA MTU BAADAE"....
Na je kupitia upinzani ni nani hasa NI MSAFI zaidi ya MAGUFULI???....ni jibu ni hakuna hata kidogo maana so far UPINZANI unategemea wafuatao NI LOWASSA na LISSU...but kuna wafia chama kamwe hawamkubali MZEE hata kidogo na MZEE hayupo tayari kukaa pembeni kwenye SUALA LA URAIS....mwisho wa siku ni CHADEMA vipande vipande......
Ndio maana tunasema IMPEACHMENT KWA JPM NI NDOTO........sasa ebu mwacheni RAIS wetu atutumikie sisi tusiokuwa MAJIZI,,MAGAIDI,..WAVIVU..MAFISADI...TUSIOPENDA MAISHA YA MTEREMKO atutumikie tutamuhukumu 2020......
Nawaza tu kwa MFANO hiki kinachosemwa ya KUWA bunge LIMEJIPANGA kumwondoa RAIS madarakani ni cha kweli na ikatokea imefanikiwa.....ni yapi yatakuwa ni madhara kupitia CCM...
Hopefully tutafanya UCHAGUZI mkuu....sasa hofu yangu juu ya hili LA KUMWONDOA RAIS NI NDOTO na halitokujafanikiwa KAMWE ni hii...
Ni nani hasa ni MBADALA WA MAGUFULI ndani ya CCM???.....na ambae hatauzika vizuri huku nje bila tatzo???Kidogo Unaweza sema ni MEMBE but huyu MEMBE ana makando kando yake pia NA PIA si MEMBE tu wapo pia HAZINA KUBWA YA VIJANA kama MWIGULU..JANUARY na wengine but tukumbuke mpaka sasa HUYU RAIS aliyepo MADARAKANI tayari ana watiifu wake MWISHO wa siku ITATOKEA MIFARAKANO YA SISI WENYE KWA WENYEWE NA kuwafaidisha WAPINZANI....kupitia HILI HAKUNA MBUNGE WA CCM anaeweza kuruhusu huu UPUUZI hata kama ana mchukia JPM....sisi NDANI ya CCM tuna kauli ifuatayo 'CHAMA KWANZA MTU BAADAE"....
Na je kupitia upinzani ni nani hasa NI MSAFI zaidi ya MAGUFULI???....ni jibu ni hakuna hata kidogo maana so far UPINZANI unategemea wafuatao NI LOWASSA na LISSU...but kuna wafia chama kamwe hawamkubali MZEE hata kidogo na MZEE hayupo tayari kukaa pembeni kwenye SUALA LA URAIS....mwisho wa siku ni CHADEMA vipande vipande......
Ndio maana tunasema IMPEACHMENT KWA JPM NI NDOTO........sasa ebu mwacheni RAIS wetu atutumikie sisi tusiokuwa MAJIZI,,MAGAIDI,..WAVIVU..MAFISADI...TUSIOPENDA MAISHA YA MTEREMKO atutumikie tutamuhukumu 2020......
Nawaza tu kwa MFANO hiki kinachosemwa ya KUWA bunge LIMEJIPANGA kumwondoa RAIS madarakani ni cha kweli na ikatokea imefanikiwa.....ni yapi yatakuwa ni madhara kupitia CCM...
Hopefully tutafanya UCHAGUZI mkuu....sasa hofu yangu juu ya hili LA KUMWONDOA RAIS NI NDOTO na halitokujafanikiwa KAMWE ni hii...
Ni nani hasa ni MBADALA WA MAGUFULI ndani ya CCM???.....na ambae hatauzika vizuri huku nje bila tatzo???Kidogo Unaweza sema ni MEMBE but huyu MEMBE ana makando kando yake pia NA PIA si MEMBE tu wapo pia HAZINA KUBWA YA VIJANA kama MWIGULU..JANUARY na wengine but tukumbuke mpaka sasa HUYU RAIS aliyepo MADARAKANI tayari ana watiifu wake MWISHO wa siku ITATOKEA MIFARAKANO YA SISI WENYE KWA WENYEWE NA kuwafaidisha WAPINZANI....kupitia HILI HAKUNA MBUNGE WA CCM anaeweza kuruhusu huu UPUUZI hata kama ana mchukia JPM....sisi NDANI ya CCM tuna kauli ifuatayo 'CHAMA KWANZA MTU BAADAE"....
Na je kupitia upinzani ni nani hasa NI MSAFI zaidi ya MAGUFULI???....ni jibu ni hakuna hata kidogo maana so far UPINZANI unategemea wafuatao NI LOWASSA na LISSU...but kuna wafia chama kamwe hawamkubali MZEE hata kidogo na MZEE hayupo tayari kukaa pembeni kwenye SUALA LA URAIS....mwisho wa siku ni CHADEMA vipande vipande......
Ndio maana tunasema IMPEACHMENT KWA JPM NI NDOTO........sasa ebu mwacheni RAIS wetu atutumikie sisi tusiokuwa MAJIZI,,MAGAIDI,..WAVIVU..MAFISADI...TUSIOPENDA MAISHA YA MTEREMKO atutumikie tutamuhukumu 2020......
Mkuu nadhani haujasoma VIZURI UZI WANGU......Fanya kazi kijana au tafuta hobby acha kupoteza muda na akili yako kwenye ambayo hauna uwezo wa kuyabadilisha, ndiyo maana Wanawake zenu wanawacheat!
Mkuu nadhani haujasoma VIZURI UZI WANGU......
You mean he is both physically and mentally fit.Hilo kwa mawaziri na yeye kuumwa halina mashiko kwa sasa...
Labda wabunge
One day your wish will be granted. Especially if we decide that we have had enough, and take actions. They might be temporarily painful but the result will be lasting. Hakuna atakae dhubutu kuchezea fedha na Haki za umma kiasi hiki tena.
Mkuu hoja yako ungeiweka hivi : baada ya kumng'oa JPM itabidi ufanyike uchaguzi mkuu. Swali ni je, JPM anazuilika kurejea ktk kiti chake?Nawaza tu kwa MFANO hiki kinachosemwa ya KUWA bunge LIMEJIPANGA kumwondoa RAIS madarakani ni cha kweli na ikatokea imefanikiwa.....ni yapi yatakuwa ni madhara kupitia CCM...
Hopefully tutafanya UCHAGUZI mkuu....sasa hofu yangu juu ya hili LA KUMWONDOA RAIS NI NDOTO na halitokujafanikiwa KAMWE ni hii...
Ni nani hasa ni MBADALA WA MAGUFULI ndani ya CCM???.....na ambae hatauzika vizuri huku nje bila tatzo???Kidogo Unaweza sema ni MEMBE but huyu MEMBE ana makando kando yake pia NA PIA si MEMBE tu wapo pia HAZINA KUBWA YA VIJANA kama MWIGULU..JANUARY na wengine but tukumbuke mpaka sasa HUYU RAIS aliyepo MADARAKANI tayari ana watiifu wake MWISHO wa siku ITATOKEA MIFARAKANO YA SISI WENYE KWA WENYEWE NA kuwafaidisha WAPINZANI....kupitia HILI HAKUNA MBUNGE WA CCM anaeweza kuruhusu huu UPUUZI hata kama ana mchukia JPM....sisi NDANI ya CCM tuna kauli ifuatayo 'CHAMA KWANZA MTU BAADAE"....
Na je kupitia upinzani ni nani hasa NI MSAFI zaidi ya MAGUFULI???....ni jibu ni hakuna hata kidogo maana so far UPINZANI unategemea wafuatao NI LOWASSA na LISSU...but kuna wafia chama kamwe hawamkubali MZEE hata kidogo na MZEE hayupo tayari kukaa pembeni kwenye SUALA LA URAIS....mwisho wa siku ni CHADEMA vipande vipande......
Ndio maana tunasema IMPEACHMENT KWA JPM NI NDOTO........sasa ebu mwacheni RAIS wetu atutumikie sisi tusiokuwa MAJIZI,,MAGAIDI,..WAVIVU..MAFISADI...TUSIOPENDA MAISHA YA MTEREMKO atutumikie tutamuhukumu 2020......
Acha kutisha watu wewe"If we decide...." blah blah blah...you and who/whom????????????? Are you a Member of Parliament??? Au wewe ni mwananchi wa kawaida kama tulivyo wengi na ambao tunaona our President anafanya mazuri???? Kuna tatizo gani la msingi mpaka Rais aondolewe madarakani??? Mnafahamu sharia ya kum-impeach Rais inasemaje? Yaani you want to gang up to remove the President from power???!!!!! God forbid ....Mmepotea njia, hamna mwelekeo, hamna hoja....