Hii suala kifike mahali likome, gari ya umma inaweka tinted ya nini?
Hata wakipata hayo mapato wanafanyia nini kama sio kuziiba tena kila kukicha TRA wanatangaza kuvunja rekodi wakati huo huo CAG nae anavunja rekodi ya taarifa ya wezi..Ningekuwa IGP ningefuta uwekwaji wa tinted kioo cha mbele na mtu akitaka kuweka alipie shs 2000,000 kwa mwaka. Mbona hela nzuri tu hiyo; mapato ya bure kabisa...
Mkuu Sababu si zitakuwa zile zile ambazo zinafanya gari za binafsi ziwekwe tint? Mf jua, privacy, usalama🤔Hii suala kifike mahali likome, gari ya umma inaweka tinted ya nini?
Kama imekuja na gari wanafanyaje? Mfano kuna gari huwa zinakuja na tint kuanzia vioo vya abiria wa siti za nyuma na kuendeleaSisi kwetu Zanzibar ukienda ku renew raod license hawataki vioo viwe tinted, haipasishwi, hiyo ni gari private.
Halafu ukisha renew, unarudishia tinted yako?Sisi kwetu Zanzibar ukienda ku renew raod license hawataki vioo viwe tinted, haipasishwi, hiyo ni gari private.
Pigia mstariHalafu ukisha renew, unarudishia tinted yako?
Hizo hawana shida nazo, hapa tunaongelea zile hazionyeshi kabisa. In fact, wanakagua kuona zilizowekwa locally.Kama imekuja na gari wanafanyaje? Mfano kuna gari huwa zinakuja na tint kuanzia vioo vya abiria wa siti za nyuma na kuendelea
kwani tinted hasa hua ni ya nini gentleman, kwa mfano?🐒Hii suala kifike mahali likome, gari ya umma inaweka tinted ya nini?
sheria ya wap hiyo gentleman?🐒Tinted haitakiwi kisheria, japo inaruhusiwa kuweka tinted inayoonesha ndani watu kama vivuli