Alah akbar. Tatizo 25mil unazo mkuu ? Nilitamani nimpe options kama 3 hivi sema kutype nshachoka.Hata mie nimeupenda huu udadavuzi mkuu.barikiwa madam
Sasa hizo options zingine tutapataje Madam Mwajuma?
Biashara za mazao zinalipa sana, na kwa mtaji huo naamin unatosha kabisa kuanza biashara hiyo lakini biashara zipo nyingi, cha msingi angalia wewe unapenda nini maana itakuwa rahisi kukifanya na kukisimamia ili upate faida zaidiSijawahi kufanya biashara ya aina yeyote isipokuwa nimefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs 25/-m ambazo nafikiria kujiajiri kwa kufanya biashara.
Naomba wazoefu wa Jiji la Dar mnipe ushauri juu ya biashara ya kufanya tafadhali.
Nimeshamshauri hivyo. Huu mpunga ningeupata baada ya mwezi ningekua mbali sana...Ningekua ndio mimi, ningewahi TMT pale Jangid Plaza Oysterbay Dar es Salaam.
Napiga pindi la week moja, then natupia mpunga wooote JP