Kwa mtaji huu stars hashindi hata mechi moja

 
Labda awe raisi wa vicoba
 
Write your reply...Sipati picha nikiifikiria siku kwanza ambayo Makonda aliingia Dar ...sijui alikua na dhamira gani moyoni
 
Write your reply...Sipati picha nikiifikiria siku kwanza ambayo Makonda aliingia Dar ...sijui alikua na dhamira gani moyoni
Hapo sasa! Labda alijipanga kazi yeyote hata kuwa "house girl" inatosha.
 
watu mnapenda kuhoji vitu vidogovidogo visivyo na mashiko............hivi kwani wewe huwezi kununua jezi ukaandika jina lako?mbona ni mambo ya kawaida tu acha uzwazwa
 
watu mnapenda kuhoji vitu vidogovidogo visivyo na mashiko............hivi kwani wewe huwezi kununua jezi ukaandika jina lako?mbona ni mambo ya kawaida tu acha uzwazwa
Huna akili, ndio maana kwako unaona ni jambo dogo tuu.
Lakini ungeshughulisha akili yako hata kidogo ungeona mantiki ya hoja
 
Nimeikimbuka filamu ya "One down two to go" ya Fred Williamson, Jim Brown na Jim Kelly.Ila kwetu imegeuka.
Afcon ambayo Stars wanashiriki baada ya miaka 39 kupita imetuonyesha jinsi CCM walivyo igawa nchi na kupoteza hadhi kwa kukosa uzalendo.
Wakati Angola walipopata nafasi kushiriki mashindano ya World cup South Africa, nakumbuka hata waasi wa Unita waliweka silaha chini muda wote wa mashindano ili kuonyesha dunia kuwa ANGOLA KWANZA mengine baadae.
Lakini oneni Stars baada ya kuifunga Uganda na Polepole kuita ushindi ule kuwa ni wa CCM sijui ununua ndege, sgr na Stiglers gouge watu walivyo poteza mapenzi na timu yao.
Wapo waliofikia kushangilia ushindi wa Senegal kwa vile tuu wanaichukia CCM.
Mbona Kenya hakuna anayeisema vibaya Harambee stars? Uganda nk?
Hiki liwe somo kuu kwa CCM kuwa kuwagawa wananchi ni jambo baya na la hatari, jee ingekuwa tunapigana vita nini kingetokea?
Vita ya Kagera tulishinda kwa vile tulikuwa wamoja na watu walichangia hadi kuku, wakati Uganda kulikuwa na mgawanyiko na waliokuwa wanapinga maovu ya Amin ndio walitusaidia kumchapa.
CCM iache tabia za kutugawa wananchi, Magu ajue na Chakubanga waelewe wanalipoteza taifa kwa kujenga chuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…