Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,088
- 4,055
Kama Makondo ndie rais wa TFF kwa sasa, mlitegemea nn?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nn wasingeandika jina la mchezaji na makonda hapo anafanya nn?.
Mkuu hapo mbona hamna shida hata kidogo au thinking capacity ndiyo tatizo. Kilichozinduliwa ni jezi mpya hilo jina Magufuli hapo nyuma limewakilisha jina la mchezaji yaani wangeweka jina lolote kuwakilisha majina ya wachezaji siyo kwamba jezi zote zitakuwa na jina la Magufuli. Mfano kipa wetu ni Aishi manula jezi yake litakuwa na jina la Aishi manula lakini litaandikwa kwa mfumo huo wa hilo jezi lililoshikiliwa hapo . Kwa maneno machache hiyo ni SAMPLE tu wangeandika hata jina la MAKONDA AU MAALIM SEIF haingemaanisha ni hivyo kwa jezi zote. Si kila jambo la kupinga hata kama hujaelewa bwana mkubwa kuuliza ni muhimu. Halafu usidhani jezi ziko 23 tu ziko nyingi na hata wewe unaweza ukawana original jezi yenye jina lako.
Labda awe raisi wa vicobaRC Makonda anataka sana kuwa Mbunge katika moja ya Jimbo la Mkoa wa Dar es Salaam na hasa hasa la Kawe lakini pia RC Makonda ameshaaminishwa kuwa anakuja kuwa Rais wa Tanzania hivyo tayari ameshasoma Saikolojia ya Watanzania hasa kwa wana Dar es Salaam kuwa wanapenda Mpira na tayari ameshamuweza Rais wa TFF Karia hivyo Karia anatumika Kufanikisha lengo lake hilo ambalo kwa mtazamo wangu tayari naona kama vile RC Makonda ameshalifanikisha. Ipo Siku hata Ofisi za TFF zote zitahamia hapo Ilala Boma zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa Makonda na Timu ya Taifa itachaguliwa na Makonda pia.
Ilipaswa jina walau la star wa nchi katika soka. Mfano SamattaMbona ni jambo la kawaida maana hiyo jezi imegeuzwa hilo jina lipo kwa nyuma
Ilipaswa jina walau la star wa nchi katika soka. Mfano Samatta
Angeandikwa samatta bado mngeponda kwa kusema anapendelewaIlipaswa jina walau la star wa nchi katika soka. Mfano Samatta
Uko sahihi! Tatizo Watu wanachukulia mambo kiitikadi.Hilo jina ni mfano tu , jezi zote zitakua na majina ya wachezaji ,hakuna jambo la ajabu hapo
Hahahaha, yaani itikadi kila sehemu dah ,kazi kweli kweliUko sahihi! Tatizo Watu wanachukulia mambo kiitikadi.
Huna akili, ndio maana kwako unaona ni jambo dogo tuu.watu mnapenda kuhoji vitu vidogovidogo visivyo na mashiko............hivi kwani wewe huwezi kununua jezi ukaandika jina lako?mbona ni mambo ya kawaida tu acha uzwazwa