Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wakuu niko Arusha, mara nyingi huwa naona kwenye TV tu ila awamu hii nimeshuhudia kwa kwa uhalisia kabisa bila chenga.
Nimehesabu magari nikachoka nikaacha ila nikabaki kujiuliza maswali tu.
1. Gharama za huu msafara na afya kwa taifa. Kuna madhara gani magari yakapunguzwa?
2. Kama haiwezekani kwanini Rais asipunguze ziara fulani fulani kupunguza hizi gharama kwa taifa?
3. Kwa hali hii kuna uwezekano Rais akaenda kuzindua mradi wenye gharama ndogo kuliko gharama za ziara yake.
4. Viongozi wetu kuweni na moyo wa huruma kwa taifa nchi hii ni yetu sote na kuna maisha baada ya dunia.
Nimehesabu magari nikachoka nikaacha ila nikabaki kujiuliza maswali tu.
1. Gharama za huu msafara na afya kwa taifa. Kuna madhara gani magari yakapunguzwa?
2. Kama haiwezekani kwanini Rais asipunguze ziara fulani fulani kupunguza hizi gharama kwa taifa?
3. Kwa hali hii kuna uwezekano Rais akaenda kuzindua mradi wenye gharama ndogo kuliko gharama za ziara yake.
4. Viongozi wetu kuweni na moyo wa huruma kwa taifa nchi hii ni yetu sote na kuna maisha baada ya dunia.