Alikuta bwawa la umeme rufiji limefika 33%,Sasa lipo70+%,barabara zinajengwa,kinyerezi inaendelea,anaajiri,Katia ruzuku za pembejeo za kilimo ili usilie njaa mwakani,mikopo kwa wanafunzi wote wenye sifa elimu ya juu,anapandisha madaraja watumishi nk,labda wewe ulitaka afanye nini ili uone anafanya kitu!?Na kibaya zaidi hakuna cha maana anachofanya toka arithi uongozi
Msafara wa rais unaratibiwa na usalama wa taifa,Kama una utaalam wa mifumo ya usalama wa viongozi kwa gharama nafuu,tafadhali fika makumbusho makao makuu ya usalama wa taifa uwashauri kiundanipikipiki 8, HardTop za kusafisha njia ni 24, zinakuja Hilux 12, zinakuja V8 30, then Hilux 10, zinafunga HardTop 15 mwishoni kabisa
Be serious.Urais ni taasisi. Rais hawezi kutembea kama Mkuu wa Wilaya. Ikulu Ina hadhi yake na lazima ilindwe Kwa gharama yoyote. Ongeza na helcopter juu ya anga.
Halafu mnataka watembelee harrierHivi wale madereva wa Mama wanakula kitu ya Arusha kabla ya Safari?
Maana ule mwendo ni balaa!
He is fucking seriousBe serious.
Helicopter siyo salamaMimi nashauri wanunue helcopter hata 100, ili wawe wanatembea angani, badala ya kutusabaishia foleni isiyo na ulazima kupitia hiyo misafara yao.
Hii comment imekaa kichumia tumbo sana ... una tumia nin kufikiriUrais ni taasisi. Rais hawezi kutembea kama Mkuu wa Wilaya. Ikulu Ina hadhi yake na lazima ilindwe Kwa gharama yoyote. Ongeza na helcopter juu ya anga.
Angekuwepo magufuli huo mradi ungekuwa umekamilikaAlikuta bwawa la umeme rufiji limefika 33%,Sasa lipo70+%,barabara zinajengwa,kinyerezi inaendelea,anaajiri,Katia ruzuku za pembejeo za kilimo ili usilie njaa mwakani,mikopo kwa wanafunzi wote wenye sifa elimu ya juu,anapandisha madaraja watumishi nk,labda wewe ulitaka afanye nini ili uone anafanya kitu!?
Hivi wale madereva wa Mama wanakula kitu ya Arusha kabla ya Safari?
Maana ule mwendo ni balaa!
Mkuu wale jamaa ni hatari sana,wanapelekwa nje kujinoa nini?Ni madereva wenye mafunzo maalum, sio hawa wa kuchomekea.
Mkuu Harrier tena,si zitaishia mtaloni kwa mwendo ule.Halafu mnataka watembelee harrier
Makumbusho sio HQ ya Usalama.Msafara wa rais unaratibiwa na usalama wa taifa,Kama una utaalam wa mifumo ya usalama wa viongozi kwa gharama nafuu,tafadhali fika makumbusho makao makuu ya usalama wa taifa uwashauri kiundani
Ulitaka watembee kwa miguuWakuu niko Arusha, mara nyingi huwa naona kwenye TV tu ila awamu hii nimeshuhudia kwa kwa uhalisia kabisa bila chenga.
Nimehesabu magari nikachoka nikaacha ila nikabaki kujiuliza maswali tu.
1. Gharama za huu msafara na afya kwa taifa. Kuna madhara gani magari yakapunguzwa?
2. Kama haiwezekani kwanini Rais asipunguze ziara fulani fulani kupunguza hizi gharama kwa taifa?
3. Kwa hali hii kuna uwezekano Rais akaenda kuzindua mradi wenye gharama ndogo kuliko gharama za ziara yake.
4. Viongozi wetu kuweni na moyo wa huruma kwa taifa nchi hii ni yetu sote na kuna maisha baada ya dunia.
Makao makuu ni wapi?..tujuze maana tukidhani pale ndiyo makao makuuMakumbusho sio HQ ya Usalama.
Miaka mitano magu kafanya 30+%,mwaka mmoja Samia kafanya 40+%..kimekusukuma nini kusema magu angekuwepo mradi ungekua umeisha!?Angekuwepo magufuli huo mradi ungekuwa umekamilika
Watu wenyewe njaa tupu nguvu za kumvamia kiongozi zinatoka wapi!Urais ni taasisi. Rais hawezi kutembea kama Mkuu wa Wilaya. Ikulu Ina hadhi yake na lazima ilindwe Kwa gharama yoyote. Ongeza na helcopter juu ya anga.