Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
Nilham unaogopa usije kuchat na husband sio?