Kwa mjibu wetu sisi Wa Iran weusi wa Tandale, Netanyahu tulishamdedisha, huyu anayeomba uungwaji mkono na mataifa anatokea wapi?

Kwa mjibu wetu sisi Wa Iran weusi wa Tandale, Netanyahu tulishamdedisha, huyu anayeomba uungwaji mkono na mataifa anatokea wapi?

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,254
Reaction score
4,466
Hii habari ya Kuuwawa kwa Netanyahu, tufute tuanze upya kumsaka

Mbona tulishamdedisha?


Huyu anayekaa na kuwa na press mbalimbali kujidai atawauwa viongozi wetu wenye Iran yao, anatoka wapi?

Nahitaji kufahamishwa,

Au tulipigwa na kitu kizito shabaha yetu ililenga mdoli wa Netanyahu na kumwacha Mwamba Neta akiselebuka kwa raha zake?

kimsboy Malaria 2
 
Chanzo cha taarifa hiyo ilikuwa ni redio masjid ubwabwa Manzese kwa Mfuga Mbwa na ilitangazwa na mtangazaji wa muda mrefu Shehe Abdallah Kichwawazi.
 
Back
Top Bottom