kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,879
mpaka sasa ingekuwa mwanamke kama sio bikira haolewi,
ingekuwaje!?
ingekuwaje!?
Ingekuwa tu.
Tungekuwa nazo tu kama ingekuwepo kanuni mwanamke/msichana hasiye na bikra haolewi
Hivi wanawake bikra wa umri wa kuoa bado wapo??Miss Natafuta angeolewa mapema sana![emoji16][emoji16][emoji16]
Nakwambia tungezitunza tu maana kama hauna bikra hauolewi milele, nani anataka fedheha hiyo!Hakuna kitu kama hicho.. Wengi wasingekua na ndoa
Hakuna ambaye angetaka hiyo fedhehaNakwambia tungezitunza tu maana kama hauna bikra hauolewi milele, nani anataka fedheha hiyo!
Kua bikra kwa mwanaume ni tofauti sana na mwanamke? Unawezaje kumtambua mwanaume bikra???Kwa maana hiyo unataka kusema kwamba hata wanaume wangetakiwa kuwa mabikira ndo waoe?
Acha kuwaza vitu ambavyo havipo...
Wengi sanaaaa wasingeweza kuwa kwenye ndoa.
Sipati picha ingekuwaje mkuu maana nowdays tu wanazaliwa tayari hawana bikra.
Sipati picha ingekuwaje mkuu maana nowdays tu wanazaliwa tayari hawana bikra.