kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,879
- Thread starter
- #41
Kwa mwanaume Inawezekana sana... Nyie pesa imewazidi nguvu mnashawishika sana
Swala siyo kumtambua mwanaume bikira swala ni kwamba wanawake wakijitunza hadi ndoa si sawa na kusema wanaume nao wajitunze au? Au wakati wanawake wanajitunza hao wanaume watakuwa wanafanya na kina nani?
Si nao itabidi wajitunze maana hakuna watakokuwa wanapata mchezo? Ndo maana nikauliza ukisema wanawake wote wajitunze hadi ndoa ina maana na wanaume nao wawe tayari kujitunza hadi ndoa? Sasa swali ni je mnaweza?