Kwa mfano . . .

Kwa mfano . . .

Kua bikra kwa mwanaume ni tofauti sana na mwanamke? Unawezaje kumtambua mwanaume bikra???
Swala siyo kumtambua mwanaume bikira swala ni kwamba wanawake wakijitunza hadi ndoa si sawa na kusema wanaume nao wajitunze au? Au wakati wanawake wanajitunza hao wanaume watakuwa wanafanya na kina nani?

Si nao itabidi wajitunze maana hakuna watakokuwa wanapata mchezo? Ndo maana nikauliza ukisema wanawake wote wajitunze hadi ndoa ina maana na wanaume nao wawe tayari kujitunza hadi ndoa? Sasa swali ni je mnaweza?
 
Wengi wangekufa na vipande vya matango uchini
 
According to virgin Agency tafiti zilizofanywa marekani inaonyesha kwamba %ndogo ya wanawake ni virgin na wengi wanaolewa na ambao hawajawatoa bikra
 
Kila kitu unafanya ulinganishaji badae utaanza kulinganisha mwili wako na wengine na kupata majibu yasiyo na mwisho .
Kwani mkuu wakati wanawake wanajitunza wanaume mtakuwa mnafanya na kina nani? Nijibu hili
 
Tungeendelea tu kukulana kimya kimya na hao waliotoa hizo bikira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom