mokoloko
Member
- Mar 15, 2016
- 75
- 68
Mkuu pili pili zangu zimekumbwa na bacteria wilt mche unakuwa Kama umemwagiwa maji ya moto unasinyaa matunda yanaanguka na baadae mche unakufa na pia ukiangalia matunda yanakuwa na rangi nyeusi kanakwamba yamepigwa na jua kali na baadae yanaoza nifanyeje kiongozi