Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza gharama zote za Uchaguzi Mkuu kulipwa na Serikali

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,976
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa serikali ya Tanzania kulipa gharama zote za Uchaguzi Mkuu tokea tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.

Ieleweke kuwa Mwaka 2015, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitumia jumla ya Shilingi 534,499,415,599/= katika zoezi zima la Uchaguzi Mkuu. Pesa kati ya hizo zilitolewa na Washirika wa Maendeleo ambao ni Umoja wa nchi za Ulaya, Uingereza na Marekani kupitia mradi wa DEP unaosimamiwa na UNDP ambapo pia walitoa vifaa kwa ajili ya uchaguzi na pia ukarabati wa Kituo cha Kuchakata taarifa za Wapiga Kura (Data Processing Center).

Kuanzia sasa mpaka Uchaguzi Mkuu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (NEC) inatarajia kutumia shilingi bilioni 331.7 kukamilisha zoezi la Uchaguzi Mkuu ambapo fedha hizo zitatolewa kupitia Mfuko Mkuu wa Hazina kwa kuzingatia kifungu cha 122 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi.

Hii itakuwa ni dhana ya kujitegemea ambayo faida yake ni kuwa na uhuru wa kuamua namna ya kuendesha uchaguzi bila kuingiliwa kimaamuzi na Wanaochangia gharama za Uchaguzi!
 
Ni kwa sababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
 
Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
Wewe hujielewi kuitwa beberu Ni tusi? Hujui beberu Ni mtu anaefuata mfomo wa kibepali.

Nisawa na Mchina umuite Mjima Napo utakuwa umekosea? Maana wanatumia mfumo wa kijima.

Nchi karbia zote za ulaya na America zinatumia mfumo wa kipebali hivyo kuitwa beberu Ni kawaida Sana.. rejea history documents mkuu.
 
Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!

Kukataa kuwaita wazungu mabeberu ni sawasawa na kukataa ukweli mtu mweusi bado mtumwa au anakoloniwa through ukoloni mambo Leo.

Wazungu ni waliwahi kuwa mabeberu na bado wanaendekeza ubeberu kwa mtindo mwengine. Sema tu hawataki kuambiwa ukweli coz ukweli Tena Toka kwa uliyekuwa unafikiri anakuogopa unauma na kushangaza Sana. Black Americans pamoja rights zote walizonazo Leo still bado wanalalamika majority wanabaguliwa.

Mbele ya mzungu wewe NI mtu duni, usiyejitambua, maskini, usiyestahili maisha mazuri nk. So wacha magu awaambie ukweli. Watu dizaini yako ni wale ambao mnaridhikka kugongewa mke kisa jamaa anakukopeshaga Ela ya kula.

Shwaini
 
Wewe hujielewi kuitwa beberu Ni tusi? Hujui beberu Ni mtu anaefuata mfomo wa kibepali.

Nisawa na Mchina umuite Mjima Napo utakuwa umekosea? Maana wanatumia mfumo wa kijima.

Nchi karbia zote za ulaya na America zinatumia mfumo wa kipebali hivyo kuitwa beberu Ni kawaida Sana.. rejea history documents mkuu.
Beberu ni tusi na ni neno la kibaguzi. Hakuna lugha nyingine ya kulielezea. Watu weusi wakiitwa nyani unaona wanavyokuja juu? Vivyo hivyo kwa neno beberu
 
Wewe mchague Lisu ili aendelee kuwaramba!

Sisi watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi
Unajitegemea wewe? Uliambiwa na mzazi wako au mwanasiasa?
 
Back
Top Bottom