Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
Maaskofu wamefanya nini? Unajua kanisa linaanzia kwenye jumuiya ndogo ndogo? Kwanini nwasijue wana waumini wangapi maana wana register yao. Kama wanajua wako 40 na Taifa lina watu 800, nini kigumu kupata asilimia yao? Jamani elimu inaanza kwanza...mkiendelea kudharau elimu mtajidhalisha mbele ya safari. Game plan is changing everyday and those that are smart upstairs would be able to cope with changes...mwenye masikio na asikiye.