Mkuu jmushi1
Umetuletea hoja mahusus, nzito, makini na imebeba uhalisia wa mtanzania miaka ya mwl J k. Nyerere na Rais Ally H. Mwinyi.
Utanzania wetu ulianza kutiwa dowa baya na kubwa enzi za IGP Omari Mahita akihanikizwa na watawala wa serikali ya ccm kuihujum CUF kuitangaza kwa nguvu kubwa kabisa kuwa ni chama hatari sana cha kidin - kiislam.
Imekuwa nikawaida kwa ccm na serikali yake kujipatia ticketi ya kutawala nchi kwa mising huo na kuwagawa watanzania.
Sasa ni zam ya chadema. Bahati mbaya sana huyu kikwete tofauti na wenzie yeye anaonekana kuhusika moja kwa moja :-
1. Kumuandaa na kumtuma ponda akishilikiana S. Mwema. (Kwanin asishikwe ponda bwana mipango? Mpaka sasa wanatuhadaa kwa kukumata vilaza huko mikowan, kama kikwete na mwema hajamtuma kwanin hakamatwi?)
2. Kikwete atakuwa mfadhili wa badhi yetu hum jf na ile redio ya iman. Kama sio, kwa nin wanaacha redio hii ieneze uchochezi wakugawa taifa tanzania waziwazi bila kukemewa walau kuonywa?
Nitakuja na mapendekezo ya nin kifanyike
Umetuletea hoja mahusus, nzito, makini na imebeba uhalisia wa mtanzania miaka ya mwl J k. Nyerere na Rais Ally H. Mwinyi.
Utanzania wetu ulianza kutiwa dowa baya na kubwa enzi za IGP Omari Mahita akihanikizwa na watawala wa serikali ya ccm kuihujum CUF kuitangaza kwa nguvu kubwa kabisa kuwa ni chama hatari sana cha kidin - kiislam.
Imekuwa nikawaida kwa ccm na serikali yake kujipatia ticketi ya kutawala nchi kwa mising huo na kuwagawa watanzania.
Sasa ni zam ya chadema. Bahati mbaya sana huyu kikwete tofauti na wenzie yeye anaonekana kuhusika moja kwa moja :-
1. Kumuandaa na kumtuma ponda akishilikiana S. Mwema. (Kwanin asishikwe ponda bwana mipango? Mpaka sasa wanatuhadaa kwa kukumata vilaza huko mikowan, kama kikwete na mwema hajamtuma kwanin hakamatwi?)
2. Kikwete atakuwa mfadhili wa badhi yetu hum jf na ile redio ya iman. Kama sio, kwa nin wanaacha redio hii ieneze uchochezi wakugawa taifa tanzania waziwazi bila kukemewa walau kuonywa?
Nitakuja na mapendekezo ya nin kifanyike