Kwa malaya bila kinga

Kwa malaya bila kinga

Ngalewa

Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
97
Reaction score
11
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
 
Ha ha ha ha ha, ushauri gani sasa?

Cha muhimu mlinde mpezi wako? Usifanye naye bila kinga kabla hujajihakikishia uko salama. Utakuwa umeua kwa kukusudia ukimwambukiza.

Subiri incubation period ipite afu ukapime.
Ujana maji ya moto
 
Dakika 3-4 unapiga hooke.r bila zana mkuu
Wait 3months then go n check ur health kiroho safi
hapa hutapata jibu zaidi ya hospital
 
Mashine yako iligoma kwa sababu dhamira yako ilikuwa haijakubaliana na kitendo hicho cha kumdhalilisha na kumhatarisha mke wako. Lichukue kama funzo na omba usiwe umeathirika.
 
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.

Pole sana!kama hazijapiia siku 3(masaa72)kuna dawa yake though ililengwa kuwasaidia victims wa ubakaji,mtafute huyo dada(sio lazima sana kumuita Malaya hata Kama ndicho hicho anafanya)umuulize akupe status yake,ni vyema kuwa makin siku nyingine!
 
Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.

Mi nakushauri ujiue mapemaaa kabla hujaanza kuugua:behindsofa:
 
Hiki kitu cha Dk 3-4 inaweza kukugharimu maisha yako yote, sikunyingine ukiwa na hamu ni bora umfungie safar mkeo or utumie kinga isiposimama nibora urudi tu home kirohosafii kuliko kulazimisha at the end unakuwa na mawasiwasi kibao.
 
Hiki kitu cha Dk 3-4 inaweza kukugharimu maisha yako yote, sikunyingine ukiwa na hamu ni bora umfungie safar mkeo or utumie kinga isiposimama nibora urudi tu home kirohosafii kuliko kulazimisha at the end unakuwa na mawasiwasi kibao.
Sawa ngoja nisubiri hiyo miez mitatu nikajue kama tayari basi ila sio mwisho wa maisha.
 
Umwambie na huyo mpenzi wako uliyoyafanya kama kweli unampenda.
 
Sawa ngoja nisubiri hiyo miez mitatu nikajue kama tayari basi ila sio mwisho wa maisha.

Usikubali matokeo kirahisi namna hii ww.

Uliza kwa madaktari huwa kuna namna ya kuzuia visisambae mwilini, Doctors wanajua hii mambo ila haitakuwa rahisi sana kupata ushirikiano wao huwa kuna mlolongo kidogo kupata hiyo tiba. Ila confirm kwanza kama huyo partner wako anaishi navyo na ww huna.
 
Daaah kahaba bila condom mmmmmh una moyo mgumu!
Nenda kapime virus vya ukimwi.
Alaf baada ya miezi3 rudi tena!

Kwani msichana wako atarudi lini? Je akichelewa kurudi na ikapita kama miezi minne?



Wana MMU naombeni ushauri wenu hii weekend iliyopita nimepatwa na janga mpenz wangu yuko mbali sasa hamu ya kudo imenikamata kwa muda mrefu sasa nikaona njia rahisi ni kwenda mjini na kununua malaya sasa jambo la ajabu nimekwenda nae mashine ikagoma kusimama na sio kawaida sasa katika hali ya kuibembeleza nilivua condom nakuchezesha kichwa kwenye mlango wa uke sasa ikasimama nikaingiza bila ndom ila baada ya dakika kama 3 au 4 nika mwaga sasa nilipomaliza nilijilaumu sana kufanya na malaya bila kondom sikuendelea nikampa pesa nikaondoka na stress naomben ushauri kama anao je nishaumia mana sina raha nikifikiria lile jambo.
 
Weweee acha uongo kabisa. Ungekuwa umefanya kitendo hicho sasa hivi ungekua una- drive. pamoja na hayo ni ujinga wako kafie mbali umeyataka mwenyewe. Hata hizo mnaita kinga hazisaidii kitu....... kalaghabhahoooooooooo pusi weeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom