"Cathoric Churc" ndo nini mkuu? Unaharibu jina la kanisa bure! Si ungeandika kiswahili - Kanisa Katoliki kama ulikusudia Catholic Church na ukaeleweka?Hv mkuu unataka useme hujanielewa au unajitoa akili?
Cathoric Churc ok
"Cathoric Churc" ndo nini mkuu? Unaharibu jina la kanisa bure! Si ungeandika kiswahili - Kanisa Katoliki kama ulikusudia Catholic Church na ukaeleweka?Hv mkuu unataka useme hujanielewa au unajitoa akili?
Cathoric Churc ok
Nilichotaka kukuelewesha ni kwamba Catholic halihusu kanisa la Roma ama Holy See peke yake. Orthodox church church of England ama anglican pia wanaitwa wakatoliki. A person who belongs to a Universal Christian church is called a Catholic. Hivyo wewe kama ni mkristu wa dhehebu lolote ambalo halikujitenga na mafundisho ya kanisa la Roma baada ya Reformation unaitwa mkatoliki.Sawa mkuu ila kanisa katoliki sio dhehebu
Nilichotaka kukuelewesha ni kwamba Catholic halihusu kanisa la Roma ama Holy See peke yake. Orthodox church church of England ama anglican pia wanaitwa wakatoliki. A person who belongs to a Universal Christian church is called a Catholic . Hivyo wewe kama ni mkristu wa dhehebu lolote ambalo halikujitenga na mafundisho ya kanisa la Roma baada ya Reformation unaitwa mkatoliki.Sawa mkuu ila kanisa katoliki sio dhehebu
Roman Catholic ChurchHatari sana..
Sie kwetu CATHORIC hatuna mambo hayo kabisa..
Huo ni wizi pigeni mawe huyo
pongez kwenu wasabato..
sisi huku ba mchungaji mpya akija. anaanza kunona..mkitambi huo..
halafu wanapiga bia hatari
mwezi kitambi kinaanza kuota kama uyogaHalafu hao wakatoliki ndiyo walikua ndiyo namba moja kwa biashara wakitumia dini kuchuma pesa na mchezo wao wa kutoza pesa ili kuwaombea wafu ambao wapo purgatory. Sijui kama unalijua hili. Hizi biashara za indulgence ndizo zilishambaratisha kanisa katoliki. Mimi nimezaliwa katika familia inayofuata hilo kanisa lakini sina hakika na mafundisho ya kanisa maana ukisoma katika biblia ambayo nimeisoma na kupata A hakuna pahali Yesu alitisha watu kuhusu moto wa jehenamu kama kuna kuungua zaidi ya ma clerics wetu kututisha. Imani yangu ni moja tu Mungu yupyaila dini ni madeal ya wajanja.Sawa mkuu ila kanisa katoliki sio dhehebu
ndo hivo..
Mkuu unalielewa hili kanisa la Roma na historua yake ama unafikiri tunawaonea? Nimesema mimi mkatoliki lakini si practice maana sina imani na baadhi ya mafundisho yake. Kaangalie kisa cha kusambaratika kwa kanisa kubwa la Roma na kwanini Martin Luther aliwaanika. Hakuna dini hapa duniani isiyoendeshwa kitapeli. Dini zote zina utapeli na kusingizia moto huko maisha baada ya kifo.Ohala
Halafu hao wakatoliki ndiyo walikua ndiyo namba moja kwa biashara wakitumia dini kuchuma pesa na mchezo wao wa kutoza pesa ili kuwaombea wafu ambao wapo purgatory. Sijui kama unalijua hili. Hizi biashara za indulgence ndizo zilishambaratisha kanisa katoliki. Mimi nimezaliwa katika familia inayofuata hilo kanisa lakini sina hakika na mafundisho ya kanisa maana ukisoma katika biblia ambayo nimeisoma na kupata A hakuna pahali Yesu alitisha watu kuhusu moto wa jehenamu kama kuna kuungua zaidi ya ma clerics wetu kututisha. Imani yangu ni moja tu Mungu yupyaila dini ni madeal ya wajanja.
Nakubalaiana na wewe kabisa lakini kina nani watakusikia? Hawa watu wanakua kama misukule mkuu ni kama UVCCM ama BAVICHA ukiwaambia wqnasiasa wao matapeli sidhani kama watakuelewaMkuu tatizo langu ni kutokariri kifungu. hata hivyo nakwambia tusiwalaumu kwani si wote wana ufahamu, hata wanaosoma wapo wanaodaganyika, kumbuka pia huyu mkosefu wa ndugu zetu(shetani) alimshawishi Hawa akala tunda, licha ya maonyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Shetani katika umbo la kibinadamu kwa kushirikiana na mawakala wake wanajitahidi kuharibu nia njema ya kuwepo kwa makanisa, kwa kuweka wadhulumaji wa kondoo za Mungu. katika kitabu cha Ezekiel nimesahau sura ila nadhani ni sura ya kumi na nane, Mungu anasema , tumwambie muovu juu ya uovu wake, asipotubu damu yake itakuwa juu yake, lakin kama hatutamwambia na inaonekana tungeweza kumsaidia basi damu yake itatakwa kwetu. Hapa mkuu nakwambia , badala ya kuwalaumu ni lazima tujitahidi kuwamulikia nuru hii ndogo tuliyonayo dhidi ya udanganyifu unaofanywa na viongozi wao. Wakati ni sasa, sisi ni mawakala wa Bwana, kwa kua ameona vyema kutufumbua sisi, sisi nasi twapaswa kuwafumbua wengine.
ahsante.
Sheria nyingi sana na kuwa ni kero, michango na SADAKA za kila aina kila kukicha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie kwenye sadaka cpangiwi na mtu. Kile moyo ulivyowiwa ndivyo natoa. Mchungaji ukijifanya mjuaji nakuambia ukalete yako
Sent using Jamii Forums mobile app