Kwa Makanisa yetu Tanzania

Kwa Makanisa yetu Tanzania

Ile Reformation unaiitaje mbona mnatetea hata upuuzi. Nimewaambia mkasome historia ya kanisa lenu. Mimi ni mkatoliki na nimefuatilia historia ya Kanisa na huo ndiyo ukweli wenyewe. Utapeli wa kanisa ktk karne ya 16 ilisababisha mpasuko na ndiyo maana unayaona makundi ya Evangalicals na pentekosto sababu hawakukubaliana na usanii wa kanisa katoliki. Sasa hivi hata neno katoliki limeondoa maana yake. Hili ni neno lilitokana na lugha ya kigiriki likimaanisha wafuasi wote wa kristu duniani ni wakatoliki lakini ninyi mnadhani katoliki na sawa na kanisa la roma. Kama mimi napotosha leta ukweli ili tujue ukweli JF kua jukwaa la ma GT
Kilichotokea ina onekana hata wewe hukielewi vizuri. Kwani reformation ya jambo inavyofanyika ina maana ni kwa sababu ya kusambaratika?
Na huo upuuzi unaotetewa ni upi?
Ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa kanisa katoliki halijawahi kusambaratika na wala halitasambaratika!
Btw kwa kuwa hili lipo nje ya mjadala uliopo hapa, basi yafaa tuheshimu hilo!
 
Kilichotokea ina onekana hata wewe hukielewi vizuri. Kwani reformation ya jambo inavyofanyika ina maana ni kwa sababu ya kusambaratika?
Na huo upuuzi unaotetewa ni upi?
Ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa kanisa katoliki halijawahi kusambaratika na wala halitasambaratika!
Btw kwa kuwa hili lipo nje ya mjadala uliopo hapa, basi yafaa tuheshimu hilo!
Sawa mkuu. Sijui kama jumuiya ya watu 100 walioweka umoja ukishia kuwa na makundi matatu ambayo hayakubaliani na kile wote walikiamini sijui kiswahili kizuri utaitaje. Kundi likigawanyika unaweza kuliitaje. Maana Martin Luthet alikua Theologian na monk wa nguvu kufikia kujitenga na kanisa na baadae kanisa kumuona adui yao mkubwa sijui hii unaliitaje. Mimi ni mkatoliki lakini ukatoliki wangu unatofautiana na wewe. Mosi nimesima kwao miaka saba hivyo naandika ninachokijua. Huko kuna utapeli mkubwa sana. Mtaendelea kudanganywa na mapadre mkiwaita waseja wakati si waseja. Soma link niliyokupatia usiwe kama ISIS wa katoliki
 
Sawa mkuu. Sijui kama jumuiya ya watu 100 walioweka umoja ukishia kuwa na makundi matatu ambayo hayakubaliani na kile wote walikiamini sijui kiswahili kizuri utaitaje. Kundi likigawanyika unaweza kuliitaje. Maana Martin Luthet alikua Theologian na monk wa nguvu kufikia kujitenga na kanisa na baadae kanisa kumuona adui yao mkubwa sijui hii unaliitaje. Mimi ni mkatoliki lakini ukatoliki wangu unatofautiana na wewe. Mosi nimesima kwao miaka saba hivyo naandika ninachokijua. Huko kuna utapeli mkubwa sana. Mtaendelea kudanganywa na mapadre mkiwaita waseja wakati si waseja. Soma link niliyokupatia usiwe kama ISIS wa katoliki
Yapo mengi zaidi ninayoyafahamu zaidi ya hayo yaliyo kwenye hiyo link. Unavyosema jumuiya ya watu 100 then baadae ikatokea mgawanyiko wa makundi matatu , ni kwamba kaa ukijua hata mti unavyokuwa unakuwa na matawi na hayo matawi hayawezi kulingana na pia yanakuwa na ulekeo tofauti ila ikitokea matawi kadhaa yakawa dhaifu basi upepo unapokuja huyavunja na kuyatupilia mbali na shina la mti linabaki likiwa limesimama imara!
 
Mgeni wa kanisa katoliki nenda kasome 95 theses za Martin Luther ili ujielimishe na uifahamu historia ya kanisa lako kuliko kudhihaki watu wakati hujui lolote.
Nimekuuliza kuna anayeweza kulisambaratisha Kanisa Katoliki...??? Au maana ya kusambaratisha nini...???
 
Ile Reformation unaiitaje mbona mnatetea hata upuuzi.
Reformation gani weye....??? Mihemko ya Luther ndio unasema imesambaratisha kanisa...?? Reformation maana yake ni Matengenezo....Sasa jiulize hayo matengenezo yaliyofanywa na muasi Luther yameishia wapi...zaidi ya mparanganyiko wa wanaojiita Waprotestant...

Nimewaambia mkasome historia ya kanisa lenu.
Hapa limekuwa letu...

Okk! Ok! Kwanini unafikiri hatujui historia ya Kanisa la Kristo mpaka utuambie tukasome...??

Mimi ni mkatoliki na nimefuatilia historia ya Kanisa na huo ndiyo ukweli wenyewe.
Hapa umekuwa Mkatoliki..ila pale juu umeukana...Ok....nipo na wewe..

Ndugu; huo "ndio ukweli wenyewe" ni upi..? Wapi tunapigia mstari...??

kanisa ktk karne ya 16 ilisababisha mpasuko
Kanisa lilisababisha mpasuko..? Upo sawa kweli wewe...???

nadiyo maana unayaona makundi ya Evangalicals na pentekosto sababu hawakukubaliana na usanii wa kanisa katoliki.
Daah!!! Hivyo kwa mujibu wa hiyo historia yako...hao Evangelical na Wapentecoste wametokea baada ya Reformation...??? Hivyo makanisa ya Lutheran na Calvinism yalitokea kipindi gani ???

Sasai hata neno katoliki limeondoa maana yake.
Upo sawa kweli wewe...? Limeondoa maana yake kivipi...? Inawezekanaje...???

Hili ni neno lilitokana na lugha ya kigiriki likimaanisha wafuasi wote wa kristu duniani ni wakatoliki lakini ninyi mnadhani katoliki na sawa na kanisa la roma.
Hakuna kanisa la Roma ila kuna One and Holy Catholic and Apostolic Church chini ya Baba Mtakatifu Pope Francis Halifa wa Mtume Petro ..

Kama mimi napotosha leta ukweli ili tujue ukweli JF kua jukwaa la ma GT
Ni bora ungekuwa unapotosha ili tukunyoroshe ila uliyoandika ni zaidi ya uzuzu na umbumbumbu...Hujui kitu yani hujui chochote...


Nipo
 
Back
Top Bottom