Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
- #41
loh..hatari hii..Michango kila jumapili sasa?
loh..hatari hii..Michango kila jumapili sasa?
pongez kwenu wasabato..Unakaribishwa nakwambia mchango wowote ni hiari yako na ni lazima usemwe mwishoni mwa mafundisho kuisha.. michango mingi inawalenga maskini waliokuja kuomba msaada na sio kiongozi.
asante mkuu..Hata kama ni dhehebu kongwe, kama halifanyi mambo yanayofaa achana nalo, tafuta lingine
pongez kwenu wasabato..
sisi huku ba mchungaji mpya akija. anaanza kunona..mkitambi huo..
halafu wanapiga bia hatari
Www nae mpanaaaaa. Ile mada kule ya paprika imeisha?😀
Mie kwenye sadaka cpangiwi na mtu. Kile moyo ulivyowiwa ndivyo natoa. Mchungaji ukijifanya mjuaji nakuambia ukalete yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Una wanawake wengi mnooJamanii mm mpana vipi tenaa..
Una wanawake wengi mnoo
Duh dhehebu lako halafu hujui linaitwaje. Si bora uandike kiswahili ijulikaneHv mkuu unataka useme hujanielewa au unajitoa akili?
Cathoric Churc ok
Duh dhehebu lako halafu hujui linaitwaje. Si bora uandike kiswahili ijulikane
Duh pole. mambo hayo hatuna kwa sababu makanisa mengi yanaongozwa na wazee wa kanisa ambao ni waumini wazoefu sio waajiriwa kama hayo makanisa mengine. wazee hao wamelidhika na Mungu alivyowajalia. wanajua, dhuluma kitu kibaya, na ndio wanatusisitiza tusiipende pesa(kuna fungu Kwenye kitabu cha timotheo nimesahau).
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" wakristo wengi ni wavivu wa kusoma maandiko ambayo ndio wangepata maarifa yote na ukweli juu ya ukristo, ukweli huo ungewaweka huru dhidi ya wahubiri makanjanja, makanisa ya kikanjanja na huduma zao, pia wangejua namna na makali sahihi pa kumwabudu Mungu ili wapate wokovu, kitendo cha kusubiria siku ya ibada ndio ukasomewe neno kisha kukaririshwa na muhubiri ndio mwanzo wa kutangatanga ktk imani na kubururwa, na mm nasema waburuzwe tu maana hamna namna nyingine! mpk pale watakapoyatafuta maarifa.Duh pole. mambo hayo hatuna kwa sababu makanisa mengi yanaongozwa na wazee wa kanisa ambao ni waumini wazoefu sio waajiriwa kama hayo makanisa mengine. wazee hao wamelidhika na Mungu alivyowajalia. wanajua, dhuluma kitu kibaya, na ndio wanatusisitiza tusiipende pesa(kuna fungu Kwenye kitabu cha timotheo nimesahau).
Ngoja nikumbuke haahhahaHahaaaaa hebu wataje japo watano tuonee..
Ngoja nikusaidie japo unatukana. Hakuna dhehebu linaitwa Cathoric ama katoliki bali kuna kanisa linaitwa kanisa katoliki la Roma ama Roman Catholic church. Neno Catholicism lina maana ya muungano wa wakristu. Waanglikana wanaitwa pia wakatoliki. Wasio wakatoliki ni wale waliojitenga wakati wa Reformation. Ukitaka kueleweshwa usikimbilie kutukana maana hakuna anayejua kila kitu ila katika jukwaa kama hili bora uwe mjinga kama mimi kuliko kuwa mpumbavu. Jioni njemaMkuu mbona ww na bashite mmepishana kidogo tu, usitake kila mtu ajue kiwango cha uchizi wako..Huelewi hapo au unataka sifaa..
Ngoja nikusaidie japo unatukana. Hakuna dhehebu linaitwa Cathoric ama katoliki bali kuna kanisa linaitwa kanisa katoliki la Roma ama Roman Catholic church. Neno Catholicism lina maana ya muungano wa wakristu. Waanglikana wanaitwa pia wakatoliki. Wasio wakatoliki ni wale waliojitenga wakati wa Reformation. Ukitaka kueleweshwa usikimbilie kutukana maana hakuna anayejua kila kitu ila katika jukwaa kama hili bora uwe mjinga kama mimi kuliko kuwa mpumbavu. Jioni njemaMkuu mbona ww na bashite mmepishana kidogo tu, usitake kila mtu ajue kiwango cha uchizi wako..Huelewi hapo au unataka sifaa..
Ngoja nikumbuke haahhaha
Ngoja nikusaidie japo unatukana. Hakuna dhehebu linaitwa Cathoric ama katoliki bali kuna kanisa linaitwa kanisa katoliki la Roma ama Roman Catholic church. Neno Catholicism lina maana ya muungano wa wakristu. Waanglikana wanaitwa pia wakatoliki. Wasio wakatoliki ni wale waliojitenga wakati wa Reformation. Ukitaka kueleweshwa usikimbilie kutukana maana hakuna anayejua kila kitu ila katika jukwaa kama hili bora uwe mjinga kama mimi kuliko kuwa mpumbavu. Jioni njema
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" wakristo wengi ni wavivu wa kusoma maandiko ambayo ndio wangepata maarifa yote na ukweli juu ya ukristo, ukweli huo ungewaweka huru dhidi ya wahubiri makanjanja, makanisa ya kikanjanja na huduma zao, pia wangejua namna na makali sahihi pa kumwabudu Mungu ili wapate wokovu, kitendo cha kusubiria siku ya ibada ndio ukasomewe neno kisha kukaririshwa na muhubiri ndio mwanzo wa kutangatanga ktk imani na kubururwa, na mm nasema waburuzwe tu maana hamna namna nyingine! mpk pale watakapoyatafuta maarifa.
Bashite huyoCATHORIC Ni dini mpya??