Salute, Comrade.
Historia inaonyesha kuwa "Primitive thinking ndiyo source ya uwepo wa vitu pasina kuhoji, kusaili, kudodosa na kadhalika", They just need command from the above. No reasoning, No truth. Nje ya hapo utakuwa huna tofauti na Dubu wa kwenye maonesho kule Ulaya.
Biblia inasema ....bisheni nayi mtafunguliwa. Ni kweli tu wabishi wa kuongozwa katika Roho na kweli?. If not why?.
Tusiwe Primitive thinkers waso hoji lolote hata kama halina mantiki. Tuhoji kila kitu kwa hekima na busara. Kuendeshwa kwa Ibada katika muktadha huo si sahihi kabisa na hata Biblia Takatifu haikuagiza hivyo.
Yakobo 1;27-
Dini iliyo safi,
isiyo na uchafu mbele za Mungu Baba, ndio hii: kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu.
Nb: Your Ignorance is their Power. Hoji hadi kanisani na atakayekutishia kuwa UTACHOMWA MOTO mwambie kuwa "Wewe ndiyo kwanza tayari unaungua".
Hekima Ni Uhuru.