Kama mtu wa IT cha kwanza
*Huweki sim card mpaka ufanye haya
-Unafanya Factory Reset / kuflash simu
-Unabadilisha IMEI
-Unadisable tracking system km location
-Una root, simu hii itasaidia kujua program zote na kuziondoa apps ambazo unaona huzijui ktk simu au zitakazo kufanya uwe tracked. Kuna apps zingine hata ukifanya factory reset au kuflash hazitoki kwahiyo dawa yake ni kuroot simu. Hapo hata kama ni app ya messaging inatoka tu tena kirahisi.
Ukimaliza yote ndiyo unaweka sim card na kutumia. Hapo miaka 100 unakuwa mtu usiyejulikana.