Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,777
- 4,822
ninaomba leo nikusalimie rasmi...habari yako mtakatifu Ivuga?Imei number inawaumbua live
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninaomba leo nikusalimie rasmi...habari yako mtakatifu Ivuga?Imei number inawaumbua live
Kwa sababu gani umeamua kunisalimia rasmi?ninaomba leo nikusalimie rasmi...habari yako mtakatifu Ivuga?
Hata haichukui dakka 5 kubadili hzo IMEImkuu IMEI ya simu inabadilika kweli? Basi kipindi kile simu feki zinafungiwa watu si wangebadili IMEI?
Letesawa mkuu nasubili niokote iphone6 nikuletee fundi
Sasa ndio tunafundishana Wizi au?Kama mtu wa IT cha kwanza
*Huweki sim card mpaka ufanye haya
-Unafanya Factory Reset / kuflash simu
-Unabadilisha IMEI
-Unadisable tracking system km location
-Una root, simu hii itasaidia kujua program zote na kuziondoa apps ambazo unaona huzijui ktk simu au zitakazo kufanya uwe tracked. Kuna apps zingine hata ukifanya factory reset au kuflash hazitoki kwahiyo dawa yake ni kuroot simu. Hapo hata kama ni app ya messaging inatoka tu tena kirahisi.
Ukimaliza yote ndiyo unaweka sim card na kutumia. Hapo miaka 100 unakuwa mtu usiyejulikana.
JF ni kisima cha maarifa. Hivi vitu uki-google kimoja kimoja vyote vinapatikana. Kwahiyo ukiunganisha ndiyo unapata idea niliyoandika. Kwa mfano tu uokote simu ambayo imetumika kwenye mauaji unafanyaje?Sasa ndio tunafundishana Wizi au?
aysee nilikuwa nataka ni quote comment yako flani kwenye jukwaa la siasa,nikajichanga nika quote huku!! doohKwa sababu gani umeamua kunisalimia rasmi?
uki upgrade android version IMEI inabadilika, uki root simu kuna option ya kubadilisha peupe kabisaa mi nimebadilisha ya kwangu kama mara tano hivi