GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Na hivi anavyopenda kwenda Kwao ( Brazil ) mara kwa mara nina uhakika hii Taarifa ya kutokea kwa Mafuriko makubwa nchini Brazil hivi sasa atakuwa anaitafuta Pasipoti yake ilipo na baadae awapigie Simu Viongozi na baadae Mchana au Jioni au Kesho aliamshe ( aende ) Kwao.
Mwenye namba ya Simu ya Kocha Gamondi anipe tafadhali kwani nataka Kumuuliza ana nini na Timu zingine za NBC Premier League?
Kama tu kwa sasa Timu yake inampiga Mtu Goli Tano Tano hadi Wengine tunaogopa hili Tizi nililoona anawapa Wachezaji wake Juzi pale Coco Beach si litakuwa la Kumpiga Mtu Kumi Kumi na Timu yangu GENTAMYCINE ya Ushindi Mpira Mbovu FC nayo ikiwemo au?
Shikamoo nyingi Kocha Gamondi.
Mwenye namba ya Simu ya Kocha Gamondi anipe tafadhali kwani nataka Kumuuliza ana nini na Timu zingine za NBC Premier League?
Kama tu kwa sasa Timu yake inampiga Mtu Goli Tano Tano hadi Wengine tunaogopa hili Tizi nililoona anawapa Wachezaji wake Juzi pale Coco Beach si litakuwa la Kumpiga Mtu Kumi Kumi na Timu yangu GENTAMYCINE ya Ushindi Mpira Mbovu FC nayo ikiwemo au?
Shikamoo nyingi Kocha Gamondi.