Kwa madudu ya Epstein files, bado unaamini Israel ni taifa teule?

Kwa madudu ya Epstein files, bado unaamini Israel ni taifa teule?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,395
Kwa ule uchafu wa Epstein's file bado kuna mjinga anaamini Waisrael ndo taifa teule?

Jeffrey Epstein ni mteule?

Trump ni mteule?

Netanyahu ni mteule?

Cha kufurahisha hizo files hakuna Kiongozi wa Iran hata mmoja, hayupo Saddam wala Gadafi, Wala Putin Wala Xi jinping, wala Maduro wala Fidel Castro, Wala Kim jon Un na hata Ayatollah hayupo, pia Muslim brotherhood hawapo, pia Houth hawapo wala Hezbollah wala Hamas.

Epstein file imejaa Wayahudi wateule kama inavyodaiwa, imejaa Christians pia....Kwa uchafu ule mmejionea wenyewe

Watoto zaidi ya elfu 10 walikua wakibakwa na kufanyiwa vitendo vya ngono,na kulawitiwa na kuuliwa,....The synagogue of Satan

Imagine Epstein files lingekua limejaa waislam au huyo Jeffrey Epstein angekua muislam basi kuna misukule humu jf ingejaza server kwa kupost kuwa uislam ni dini ipo hivi na vile.

Kwa huu uchafu bado kuna misukule inaamini Israel ni dola teule?
 
Men who are not found in the Epstein files.

1. Imam Khamenei

2. Vladimir Putin

3. Xi Jinping

4. Kim Jon Un

And these are the people America hates.

I wonder why that is ?
 
Men who are not found in the Epstein files.

1. Imam Khamenei

2. Vladimir Putin

3. Xi Jinping

4. Kim Jon Un

And these are the people America hates.

I wonder why that is ?
Kwa hiyo hapo unataka tuipe credit dini ya myaazi?
 
Men who are not found in the Epstein files.

1. Imam Khamenei

2. Vladimir Putin

3. Xi Jinping

4. Kim Jon Un

And these are the people America hates.

I wonder why that is ?
Kwa hiyo hapo unataka tuipe credit dini ya myaazi
 
Still ni taifa teule mjuba, Mungu tu ndiye atalihukumu kwa madhambi yao, hatutawalaani waisrael, tutawabariki.
 
Watu wanakua na mfungo wa wiki nzima wanaipmbea israel, wanatafuta hela kwa tabu wiki nzima alaf jpilu eanatoa sadaka ya israel anayoenda kula mchunguji.
taifa kenyewe limrtambuliwa miaka ya 1940s, sasa hua najiuliza kabla ya hapo lilikua eapi hilo taifa teule kudadeki.
 
Watu wanakua na mfungo wa wiki nzima wanaipmbea israel, wanatafuta hela kwa tabu wiki nzima alaf jpilu eanatoa sadaka ya israel anayoenda kula mchunguji.
taifa kenyewe limrtambuliwa miaka ya 1940s, sasa hua najiuliza kabla ya hapo lilikua eapi hilo taifa teule kudadeki.
Ndo hapo sasa
 
Kwa ule uchafu wa Epstein's file bado kuna mjinga anaamini Waisrael ndo taifa teule?

Jeffrey Epstein ni mteule?

Trump ni mteule?

Netanyahu ni mteule?

Cha kufurahisha hizo files hakuna Kiongozi wa Iran hata mmoja, hayupo Saddam wala Gadafi, Wala Putin Wala Xi jinping, wala Maduro wala Fidel Castro, Wala Kim jon Un na hata Ayatollah hayupo, pia Muslim brotherhood hawapo, pia Houth hawapo wala Hezbollah wala Hamas.

Epstein file imejaa Wayahudi wateule kama inavyodaiwa, imejaa Christians pia....Kwa uchafu ule mmejionea wenyewe

Watoto zaidi ya elfu 10 walikua wakibakwa na kufanyiwa vitendo vya ngono,na kulawitiwa na kuuliwa,....The synagogue of Satan

Imagine Epstein files lingekua limejaa waislam au huyo Jeffrey Epstein angekua muislam basi kuna misukule humu jf ingejaza server kwa kupost kuwa uislam ni dini ipo hivi na vile.

Kwa huu uchafu bado kuna misukule inaamini Israel ni dola teule?
Hii chuki kwa wayahudi amewapandikiza marehemu mudy
 
?
20260208_155919.jpg
 
Watu wanakua na mfungo wa wiki nzima wanaipmbea israel, wanatafuta hela kwa tabu wiki nzima alaf jpilu eanatoa sadaka ya israel anayoenda kula mchunguji.
taifa kenyewe limrtambuliwa miaka ya 1940s, sasa hua najiuliza kabla ya hapo lilikua eapi hilo taifa teule kudadeki.
Rudi darasani ukasome!!!!
 
Men who are not found in the Epstein files.

1. Imam Khamenei

2. Vladimir Putin

3. Xi Jinping

4. Kim Jon Un

And these are the people America hates.

I wonder why that is ?
Epstein ndiyo kawa Mungu wenu?
 
Back
Top Bottom