Sinza vitajaa barabara yote ya shekilango
Hii inahitajika pale kwa Mbowe aise.. Pale ni risk sana kuvuka!
walevi/ulevi si ni ugonjwa wa kujitakia au????Hahahahaaaaaaaaa! ya leo kali mkuu, ila ni kweli kwani nao si watu/ kuna tofauti gani kati ya walevi na wasioona ktk kuvuka barabara, nadhani wote wanahitaji kuchukuliwa tahadhari