chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,012
- 20,685
Hawa watumishi wa umma wanataka kushindana na serikali.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kada ya watumishi wa umma kuacha kazi kutokana na hofu, hawa wamepewa mafunzo kazini kwa gharama kubwa na wengi ni wa kada za juu ambao wana nia ya kuvuruga succession plan ambayo kama nchi, gharama kubwa imetumika kutengeneza succession plan.
Njia pekee ya kuwazuia ni kuhakikisha malipo yao baada ya kuacha kazi yasipatikane kirahisi, yachukue hata miaka miwili kupatikana, hii itazuia wale waliokuwa na nia ya kuwafata wenzao katika wimbi la kukimbia utumishi wa umma waache.
Nawasilisha.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kada ya watumishi wa umma kuacha kazi kutokana na hofu, hawa wamepewa mafunzo kazini kwa gharama kubwa na wengi ni wa kada za juu ambao wana nia ya kuvuruga succession plan ambayo kama nchi, gharama kubwa imetumika kutengeneza succession plan.
Njia pekee ya kuwazuia ni kuhakikisha malipo yao baada ya kuacha kazi yasipatikane kirahisi, yachukue hata miaka miwili kupatikana, hii itazuia wale waliokuwa na nia ya kuwafata wenzao katika wimbi la kukimbia utumishi wa umma waache.
Nawasilisha.