Hivi kwanini Serikali isione haja ya watumishi wa umma kufanya kazi kwa mikataba ya muda mfupi?

Moyo wa nchi

Member
Jun 21, 2023
81
127
Tatizo la ajira limekuwa kubwa hapa nchini, wenye vyeti vyao wanadhurura mitaani ajira hakuna, hasa ukizingatia na mfumo wetu wa elimu unaomuandaa mhitimu kuajiriwa na serikali na si kujiari.

Hivi kwa mazingira ya sasa kuna ulazima gani wa kuwang'ang'ania watumishi miaka 55 au 60 ndipo wastaafu?

Wanastafu akili zikiwa zimechoka, wakiwa hawana nguvu na mwisho ni kufa wakiwa masikini kabisa, hasa hawa wa kada za chini kama walimu, madaktari na mapolisi.

Kama kungekuwa na utaratibu wa kufanya kazi kwa mikataba nafikiri tungeweza kutatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa.

Ni hayo tu.
 
Gharama itakuwa kubwa sana. Kumbuka ukiajiri mtu lazima umtrain ili awe competent. Na muda unaomtrain mtu unatumia gharama na mara nyingi huo muda mwajiriwa mpya anakuwa hazalishi. So assume ndo unatrain then mkataba unaisha na kuajiri wengine na kuanza kutrain tena. Kama umewah kuajiri utakuwa unanielewa. Kuachia competent personnel sio issue nyepesi.
 
Tatizo la ajira limekuwa kubwa hapa nchini, wenye vyeti vyao wanadhurura mitaani ajira hakuna, hasa ukizingatia na mfumo wetu wa elimu unao muandaa mhitimu kuajiwa na serikali na SI kujiari.
Hivi kwa mazingira ya Sasa Kuna ulazima Gani wa kuwang'ang'ania watumishi miaka 55 au 60 ndipo wastaafu?

Wanastafu akili zikiwa zimechoka, wakiwa hawana nguvu na mwisho ni kufa wakiwa masikini kabisa hasa Hawa wa kada za chini kama waalimu, madaktari na mapolisi.

Kama kungekuwa na utaratibu wa kufanya kazi kwa mikataba nafikiri tungeweza kutatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa.
Ni hayo tu.
Tatizo la ajira huwezi kulimaliza kwa kazi za mikataba na wala ufanisi wa kazi hauongezeki kwa ajira za mikataba!

Ajira zitaongezeka kwa uwekezaji mkubwa na ubunifu wa miradi na tekinolojia mpya na sahihi katika kujenga uchumi wa nchi na kuinua ubora wa maisha.

Mtu mzee katika ajira si mzigo na wala si kwamba amechoka kiakili bali ni mtu muhimu kwa kuwajengea vijana uzoefu na pia ni mtu wa kati baina ya tekinolojia ya zamani na tekinolojia mpya.

Hivyo wazo lako si sahihi na kama unaona elimu uliyonayo haikusaidii katika kupata ajira au kujiajiri ni vema ukatafuta elimu nyingine au nenda veta upate ujuzi wa ufundi itakusaidia.

Serikali inahitaji watu wazoefu ili ipate matokeo ya haraka kwa hiyo kama unataka waondolewe ili wewe upate nafasi ya kuajiriwa utasubiri sana!
 
Hapohapo umelaumu watu kustaafu maskini hapohapo unataka wenye nguvu waajiriwe ili wakastaafu maskini
Hapa ushauri ni kuwashauri watu wasisome wafanye biashara ili wasife maskini.
 
Tatizo la ajira limekuwa kubwa hapa nchini, wenye vyeti vyao wanadhurura mitaani ajira hakuna, hasa ukizingatia na mfumo wetu wa elimu unaomuandaa mhitimu kuajiriwa na serikali na si kujiari.
Hivi kwa mazingira ya sasa kuna ulazima gani wa kuwang'ang'ania watumishi miaka 55 au 60 ndipo wastaafu?

Wanastafu akili zikiwa zimechoka, wakiwa hawana nguvu na mwisho ni kufa wakiwa masikini kabisa, hasa hawa wa kada za chini kama walimu, madaktari na mapolisi.

Kama kungekuwa na utaratibu wa kufanya kazi kwa mikataba nafikiri tungeweza kutatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa.

Ni hayo tu.
Ingefaa ili wengine nao wapate ajira
 
Gharama itakuwa kubwa sana. Kumbuka ukiajiri mtu lazima umtrain ili awe competent. Na muda unaomtrain mtu unatumia gharama na mara nyingi huo muda mwajiriwa mpya anakuwa hazalishi. So assume ndo unatrain then mkataba unaisha na kuajiri wengine na kuanza kutrain tena. Kama umewah kuajiri utakuwa unanielewa. Kuachia competent personnel sio issue nyepesi.
Hajui hilo je anafahamu hadi rubani kui master vyema ndege vita ni swala la muda mrefu sana kutokana na kwamba gharama za uendeshaji ni kubwa? Hapo nimempa mfano huo kuna sector kibao bado.
 
Tatizo la ajira limekuwa kubwa hapa nchini, wenye vyeti vyao wanadhurura mitaani ajira hakuna, hasa ukizingatia na mfumo wetu wa elimu unaomuandaa mhitimu kuajiriwa na serikali na si kujiari.
Hivi kwa mazingira ya sasa kuna ulazima gani wa kuwang'ang'ania watumishi miaka 55 au 60 ndipo wastaafu?

Wanastafu akili zikiwa zimechoka, wakiwa hawana nguvu na mwisho ni kufa wakiwa masikini kabisa, hasa hawa wa kada za chini kama walimu, madaktari na mapolisi.

Kama kungekuwa na utaratibu wa kufanya kazi kwa mikataba nafikiri tungeweza kutatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa.

Ni hayo tu.
Madaktari ni kada za chini? Umechemka sana jitathmini dogo.
 
Tatizo la ajira limekuwa kubwa hapa nchini, wenye vyeti vyao wanadhurura mitaani ajira hakuna, hasa ukizingatia na mfumo wetu wa elimu unaomuandaa mhitimu kuajiriwa na serikali na si kujiari.
Hivi kwa mazingira ya sasa kuna ulazima gani wa kuwang'ang'ania watumishi miaka 55 au 60 ndipo wastaafu?

Wanastafu akili zikiwa zimechoka, wakiwa hawana nguvu na mwisho ni kufa wakiwa masikini kabisa, hasa hawa wa kada za chini kama walimu, madaktari na mapolisi.

Kama kungekuwa na utaratibu wa kufanya kazi kwa mikataba nafikiri tungeweza kutatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa.

Ni hayo tu.
hilo wazo ni zuri na limewahi kujadiliwa lakini tatizo viongozi wetu wepesi sana kusahau.

jambo hili la mkataba wa muda lina faida kubwa mbili;
1. litatoa fursa za ajira kwa vijana wengi zaidi.
2. Ufanisi utaongezeka zaidi
 
Tatizo la ajira huwezi kulimaliza kwa kazi za mikataba na wala ufanisi wa kazi hauongezeki kwa ajira za mikataba!

Ajira zitaongezeka kwa uwekezaji mkubwa na ubunifu wa miradi na tekinolojia mpya na sahihi katika kujenga uchumi wa nchi na kuinua ubora wa maisha.

Mtu mzee katika ajira si mzigo na wala si kwamba amechoka kiakili bali ni mtu muhimu kwa kuwajengea vijana uzoefu na pia ni mtu wa kati baina ya tekinolojia ya zamani na tekinolojia mpya.

Hivyo wazo lako si sahihi na kama unaona elimu uliyonayo haikusaidii katika kupata ajira au kujiajiri ni vema ukatafuta elimu nyingine au nenda veta upate ujuzi wa ufundi itakusaidia.

Serikali inahitaji watu wazoefu ili ipate matokeo ya haraka kwa hiyo kama unataka waondolewe ili wewe upate nafasi ya kuajiriwa utasubiri sana!
Nimekielewa mkuu,
 
Back
Top Bottom