Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,417
- 191,580
Kiubwete ubwete mno yani jamaa anatatua marinda ya XLeo
Bi dada....baby ex mambo...
Ex.....poa,leo kulikoni umenitafuta??
Bi dada.....aaaah nawe acha utani[emoji7],nimekumiss sana
Ex,,,,,mmmmh,kwahiyo tunafanyaje?
Bi dada....nakusikiliza my[emoji7]
Ex...njoo nyumbani,tukumbushie,nikupe mambo hadi umsahau hilo jamaa lako
Bi dada......hahaha nawe mmmmh,nakuja ........
Nimewaza tu yaani[emoji2902][emoji2902][emoji2902]