Mwami Kabuyuki
Senior Member
- Dec 4, 2018
- 157
- 307
Baada ya kuweka mtego kwa mchumba wangu nimegundua huko mbeleni naweza kumchoma kwa gunia la mkaa nikaishiwa kufungwa jela
Zikiwa zimebaki siku chache tuhitimishe safari yetu ya uchumba na kuingia kwenye ndoa takatifu lakini naamua kuvunja mahusiano ,najua ndugu jamaa na marafiki watashangaa lakini nahisi kuua huko mbeleni
Kwa Akili zangu huyo Na Kama ni mimi Namuacha fasta aendelee na Maisha yake, Hama Msimamo, Nafuta kila Kilichochake nakausha kimya kama vile Haijawahi Kutokea kumfaham mtu kama yeye
Mapungufu hayo aliyatafuta mwenyewe, kwanini asitumie nguvu ile kumvuta kwake?!Kuvumilia mapungufu ya hivyo ni kujikaanga
Angeenda kwake na kwa ex. Angemilikiliwa na wote.Mapungufu hayo aliyatafuta mwenyewe, kwanini asitumie nguvu ile kumvuta kwake?!
sasa umeshamtengenezea mkulungwa njia kiulainiiii .
N.b
Kama unataka kuvunja mahusiano uwe na ushahidi concrete si maana hizo meseji anaweza kukugeuka akasema alishajua ni wewe ndo akaamua kukuzingua.
Na pia una uhakika gani kwamba hakumfuata jamaa facebook pm huko akamuuliza kama ni namba yake?
Na unadhani chatting yako na ya jamaa haijui?
Soma kisa Cha jamaa mmoja anajiita KoroeBaada ya kuweka mtego kwa mchumba wangu nimegundua huko mbeleni naweza kumchoma kwa gunia la mkaa nikaishiwa kufungwa jela
Zikiwa zimebaki siku chache tuhitimishe safari yetu ya uchumba na kuingia kwenye ndoa takatifu lakini naamua kuvunja mahusiano ,najua ndugu
Kafukua kaburi la mfilisti.ww jamaa akili hauna....
Na usipoangalia utakufa mapema mno.
Kingine tu ndoa huiwez na mahusiano yoyote huyawez