HRM
Member
- Jan 31, 2012
- 16
- 1
Jana nilikuwa cocobeach nikakuta akina dada wenzangu wamevua nguo nikidhani wanajiandaa kuogelea...baadae nikakuta wanaume wengine wanafunga zipu zao kwa mbele...nikasita kwenda...kurudi nyuma nikakuta condom 4 zilizotumika zikiwa na kiwango kikubwa cha ukame. hivi tunakwenda wapi sasa? wenzangu walilegeaaa mpaka nikawaonea huruma. Hadi cocobeach tunatoa penzi kweli? hebu tutafute sitiri jamani lol!