Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
Mungu aniepushe kutumia huo mtandao
Beef, yaani bora ishuke kwa mwenzi wako au yeyote duniani, lakini ibaki kwa Mungu. Kama Mungu amemuita mfiraji MBWA, hii ina maana huyu mtu HAKUNA SEHEMU amesaziwa heshima. Hana heshima Mbinguni wala duniani kwa yeyote; heshima yake inasalia KUZIMU tu! Inasononesha sana!Wenye tabia hiyo wanajishushia heshma kwa Wake zao.
Ukifanya na mkeo, wewe ni MBWA; ukifanya na mwanamke mwingine, ni zaidi; unakuwa MBWA na MZINZI!mkeo mkeo eti mambo ya Tigo, No no no!!!
Speak! Why speechless?Aisee
Sema uko upande gani; tujue tunakusaidiaje(kama ni wa kundi la kuhitaji msaada). Be open.Aseehh
Speak! Why speechless?
Sema uko upande gani; tujue tunakusaidiaje(kama ni wa kundi la kuhitaji msaada). Be open.
Katiririka mbayaDuu....kweli mzaramo sio mzungu